ok mkuuWanakuja mkuu
Nikitaka kudowload inaniambia"speed low dowload" or bad network...Sijaelewa, unashindwa Ku Download ao nini?
Kwa uzoefu wangu futa iyo app, kapakue nyingine. Ao jaribu kuzima kisha uwashe phone yako. Vinginevio subiri wajuzi waje.Nikitaka kudowload inaniambia"speed low dowload" or bad network...
Swali lakizushi Monsieur le Baron!!! Ilo jina unafaham maana yake na Historia yake?Wakuu kwema?polen na mihangaiko ya kutwa nzima ya leo.
Wakuu nina shida imenikumba tangu jana ya kudowload video,apps na picha even ducuments .Mpaka sasa sijajua tatzo ni nini..Kwa mwenye ujuz na hili suala naomba sana kwa sana anisaidie.
Jina la simu ni Samsung galaxy J5.Samahan kwa wale wote niliowakera kwa uzi huu.
yaah mkuu..,mojawapo ya waleta demokrasia kule ulayaSwali lakizushi Monsieur le Baron!!! Ilo jina unafaham maana yake na Historia yake?
Mbn mkuu hiyo sehemu husika siioniNenda MENU ingia SETTINGS pitiliza mpaka DOWNLOADS shuka mpaka MY PHONE elejea IMAGES sokea mpaka IMPROVE ingiza ENTER. subiri itakuambia INITIALIZING tulia hapo mpaka upigiwe simu
Yaan,yenyewe nikifanya kupakua app nyingine bdo ni mizinguo.Haifanyi kazi yoyoteKwa uzoefu wangu futa iyo app, kapakue nyingine. Ao jaribu kuzima kisha uwashe phone yako. Vinginevio subiri wajuzi waje.
Nikweli BARON nimatajari wakubwa sana walio tokea ufaransa wakaungana na matajiri wengi huko barani ulaya kufanya mabadiliko za kisiasa. Ila wote walikuwa na imani moja. FRAMASONERIE, (FIRIMASONI ). Wapinga kristo, nawewe nikundi moja??yaah mkuu..,mojawapo ya waleta demokrasia kule ulaya
Subiri wazoefu zaidi watakuja...Yaan,yenyewe nikifanya kupakua app nyingine bdo ni mizinguo.Haifanyi kazi yoyote
Wakishirikiana na Francois-mark arovet-voltaire,Fredick Engels,John locke nkNikweli BARON nimatajari wakubwa sana walio tokea ufaransa wakaungana na matajiri wengi huko barani ulaya kufanya mabadiliko za kisiasa. Ila wote walikuwa na imani moja. FRAMASONERIE, (FIRIMASONI ). Wapinga kristo, nawewe nikundi moja??
Hao wawili John Locke na Engels nliwasoma kwenye Educational philosophy kumbe walikua masonic club?Wakishirikiana na Francois-mark arovet-voltaire,Fredick Engels,John locke nk