Mkuu kesho unafanya interview na hawa viumbe? Neno msaada wa haraka limenishtua kweli kweliWANAJAMVI PLEASE NAOMBA KUPATA MSAADA WA TOFAUTI YA HAWA WANYAMA WA PORINI NASHINDWA KABISA KUELEWA NA KUTOFAUTISHA
1.NYANI
2.TUMBILI
3.NGEDERE
4.KIMA
5.SOKWE
WANAJAMVI PLEASE NAOMBA KUPATA MSAADA WA TOFAUTI YA HAWA WANYAMA WA PORINI NASHINDWA KABISA KUELEWA NA KUTOFAUTISHA
1.NYANI
2.TUMBILI
3.NGEDERE
4.KIMA
5.SOKWE
Tumbili na kima ni tofauti mkuuAndika hivi ,tofauti kati ya 1. nyani 2. Ngedere/tumbili/kima 3. Sokwe
lini watageuka wawe binadamuView attachment 976042
chimpanzee
alaah kumbe gorilla na chimpanzees ni tofauti hilo nalo sikulijua. kule gombe wapo gorillas au chimpanzees? kwa sabb wote tunawaita sokwe