MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,754
- 9,223
Salam kwenu nyote!
Ndugu naomba msaada wa kimawazo juu ya kozi hizi za biashara: ACCOUNTANCY na BUSINESS ADMINISTRATION katika suala zima la ajira; ni ipi kati yake iliyo rahisi kupata ajira, na ipi nzuri kui-apply katika biashara binafsi.
Naombeni msaada wenu wataalam na wazoefu wa kozi hizi kuna mdogo wangu kasema nimfanyie application kwa kozi moja kati ya hizo ngazi ya cheti. mimi napenda baadae aitumie knowledge atakayopata katika biashara zake binafsi badala ya kuajiriwa na mtu ama kampuni.
Ndugu naomba msaada wa kimawazo juu ya kozi hizi za biashara: ACCOUNTANCY na BUSINESS ADMINISTRATION katika suala zima la ajira; ni ipi kati yake iliyo rahisi kupata ajira, na ipi nzuri kui-apply katika biashara binafsi.
Naombeni msaada wenu wataalam na wazoefu wa kozi hizi kuna mdogo wangu kasema nimfanyie application kwa kozi moja kati ya hizo ngazi ya cheti. mimi napenda baadae aitumie knowledge atakayopata katika biashara zake binafsi badala ya kuajiriwa na mtu ama kampuni.