Eti wa ndugu, Utra-sound inaweza kudetermine tarehe ambayo mwanamke ameshika mimba. Kuna mtu anataka kuniinia hapa ? Mwenye maelezo ya kina juu ya hicho kipimo.
Ultrasound haiweiz tambua tarehe ya mke kupata mimba bali inatambua mimba inamiezi mingap na mtoto ni wa jinsia gani na pia mtoto yukoje tumboni cku ya kujuwa mimba imeingia mke au girlfriend wako sawa mkuu muulize vzr hatakwambia
Eti wa ndugu, Utra-sound inaweza kudetermine tarehe ambayo mwanamke ameshika mimba. Kuna mtu anataka kuniinia hapa ? Mwenye maelezo ya kina juu ya hicho kipimo.
Hiwezi jua, watakwambua tu mimba ina wiki tatu au nne, kama mke ameliwa asubuhi na mmoja na jioni na mwingine, au Leo kala mume kesho kala kidumu chake,
Eti wa ndugu, Utra-sound inaweza kudetermine tarehe ambayo mwanamke ameshika mimba. Kuna mtu anataka kuniinia hapa ? Mwenye maelezo ya kina juu ya hicho kipimo.