Msaada wa haraka na dharura unahitajika!

Msaada wa haraka na dharura unahitajika!

JF2050

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
2,085
Reaction score
45
Kwa utafiti nilioufanya kwa muda usiopungua miezi 36 (tangu nilipokuwa naingia kama guest) hapa jf ni kwamba wanawake wengi ambao wanataka/wanahitaji/wanatafuta marafiki, wapenzi, wachumba au wenza, asilimia kubwa, zaidi ya 90% ni wale ambao:

i. wameumizwa;

ii. umri umekwenda;

iii. wameachika;

iv. wamechoka kuwa nyumba ndogo;

v. wanataka kuongeza idadi (jiulize mko wangapi);

vi. waliopo mbali na nyumbani, yaani nje ya Tz (presha za umri na kupoteza network ya marafiki zinawasukuma);

vii. watoto wa shule/wadogo/wanachuo (wengi wao wanatokea fb) ili wapate wa kuwapiga mizinga, wa kuwatoa out, kuwapa lift au kufurahia starehe za aina zozote zile;

viii. watu wazima wanaowinda vivulana vidogo (ngorongoro boys);

ix. wanataka mahusiano ili kuondoa nuksi au kuweka record ya kuwa na mahusiano mengi ya aina mbalimbali na watu tofautitofauti.

Kuna hii special case niliisahau, yaani mtu umetisha mtaani kiasi kwamba kwa tabia zako zilizopinda jamii inayokuzunguka inakujua mwanzo mwisho kiasi cha kuona uzame jf ili ukamate kichwa kisichokujua kabisa background yako. Noma hapa ikiwa madude yako ya nyuma yatafumuka wakati tayari upo kwenye uhusiano!


Naomba tuchangie kutoa ushauri aidha wa kuwasadia namna ya kuendeleza harakati zao kwa ufanisi zaidi, au kama wanayofanya sio mazuri basi toa ushauri ili waache, na wape njia mbadala za kutatua matatizo yanayowakabili.
 
++
Nakuunga mkono Nadhani msaada wanaostahili ni sawa na ule tunaohitaji hata sisi ambao hatujaweka matangazo.Msaada ni kumshirikisha Mungu hitaji letu
++
 
++
Nakuunga mkono Nadhani msaada wanaostahili ni sawa na ule tunaohitaji hata sisi ambao hatujaweka matangazo.Msaada ni kumshirikisha Mungu hitaji letu
++

Kumshirikisha Mungu, wazo zuri kabisa mkuu.
 
aaagh nasubiria part two..........part one imeniachia mlima kitonga.
 
wewe umeshawahi kutoka na wanawake/wasichana wangapi wa jf mpaka uje na majumuisho yako.
 
wewe umeshawahi kutoka na wanawake/wasichana wangapi wa jf mpaka uje na majumuisho yako.
swali zuri sana hili? kama yeye ni kidume ajibu toka moyoni mwake
ndo maana wanaume wengi hapa hawapati watu cause kuna watu wana madharaaaau ...mtu husimamishi unajifanya umetembea na mademu wote mtaani ukiulizwa nani mtaje huna jibu...
 
Mkuu utafiti huu umeufanya kwa wanawake tuuuuuuuuuu. Mbona kuna wanaume wengi nao wanatafuta hayo uliyoainisha hapo juu. Au pengine nimewahi sana kuuliza maana umesema bado unaendelea na utafiti
 
Mkuu utafiti huu umeufanya kwa wanawake tuuuuuuuuuu. Mbona kuna wanaume wengi nao wanatafuta hayo uliyoainisha hapo juu. Au pengine nimewahi sana kuuliza maana umesema bado unaendelea na utafiti

Mkuu nimefanya kwa wanawake tu, wanaume baadaye.
 
swali zuri sana hili? kama yeye ni kidume ajibu toka moyoni mwake
ndo maana wanaume wengi hapa hawapati watu cause kuna watu wana madharaaaau ...mtu husimamishi unajifanya umetembea na mademu wote mtaani ukiulizwa nani mtaje huna jibu...

Wala sijatoka na mtu mkuu, wala sijawahi kutongoza mwanamke huku, wewe angalia tu nyuzi hapa jf, comments na jinsi wanavyoexpress experiences zao. Lengo ni kusaidiana mkuu, sina nia mbaya.
 
++
Nakuunga mkono Nadhani msaada wanaostahili ni sawa na ule tunaohitaji hata sisi ambao hatujaweka matangazo.Msaada ni kumshirikisha Mungu hitaji letu
++
Mkuu pamoja na kumshirikisha Mungu si imeandikwa omba, bisha hodi na tafuta nafikiri kutoa tangazo ni sehemu mojawapo ambayo Mungu pengine anaweza kuitumia hebu fikiria unaomba halafu hujichanganyi maeneo yanayoweza kuleta majibu ya ombi lako si itakua kazi kufikia lengo. Hebu chukua mfano unamuomba Mungu akupe kazi halafu unafunga wee haupeleki RESUME yako mahala wala huwaambii watu hitaji lako itawezekana kweli kulifikia lengo.Binafsi ktk hili ninaona kwamba haya yote yanayotokea ni kwa sababu ya maendeleo ya science na technologia si unajua utandawazi ndugu yangu , zamani hata kuongea kwa njia hii ya JF na namna zingine ilikua hakuna lkan sasa hivi watu wanafurahi/gombana kupitia mitandao hata kama hawafahamiani kwa sura ,hivyo tukubali kua kuna mabadiliko makubwa ktk jamii. Sikupingi mkuu bali ni ktk hali ya kuchambua zaidi mada.
 
Wala sijatoka na mtu mkuu, wala sijawahi kutongoza mwanamke huku, wewe angalia tu nyuzi hapa jf, comments na jinsi wanavyoexpress experiences zao. Lengo ni kusaidiana mkuu, sina nia mbaya.
no research no right to speak!
 
Mkuu pamoja na kumshirikisha Mungu si imeandikwa omba, bisha hodi na tafuta nafikiri kutoa tangazo ni sehemu mojawapo ambayo Mungu pengine anaweza kuitumia hebu fikiria unaomba halafu hujichanganyi maeneo yanayoweza kuleta majibu ya ombi lako si itakua kazi kufikia lengo. Hebu chukua mfano unamuomba Mungu akupe kazi halafu unafunga wee haupeleki RESUME yako mahala wala huwaambii watu hitaji lako itawezekana kweli kulifikia lengo.Binafsi ktk hili ninaona kwamba haya yote yanayotokea ni kwa sababu ya maendeleo ya science na technologia si unajua utandawazi ndugu yangu , zamani hata kuongea kwa njia hii ya JF na namna zingine ilikua hakuna lkan sasa hivi watu wanafurahi/gombana kupitia mitandao hata kama hawafahamiani kwa sura ,hivyo tukubali kua kuna mabadiliko makubwa ktk jamii. Sikupingi mkuu bali ni ktk hali ya kuchambua zaidi mada.

Nakubaliana na wewe mkuu, lakini je, hii njia ni sahihi na haiwezi kuleta matatizo hapo baadaye?

Si unajua matimbwili yakianza kwenye mahusiano, dah kauli kama hizi "mtu mwenyewe tumekutana jf, nenda zako"
 
Back
Top Bottom