Msaada wa haraka joining instruction shule ya sekondari Kazima-Tabora

Msaada wa haraka joining instruction shule ya sekondari Kazima-Tabora

sir j

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
319
Reaction score
214
Habarini sa asubuhi ndugu zanguni. Heri ya Christmas na mwaka mpya.
Ndugu zanguni, naombeni msaada wenu, mwanangu kachaguliwa kujiunga na shule ya sekondari Kazima-Tabora, lakini sijapata Joining instruction.

Naombeni kwa yeyote ambaye mwanae au nduguye kachaguliwa shule hiyo kidato cha kwanza (form one) na amekwisha kupata joining instruction ama mtu yeyote anisaidie ili nifanye maandalizi stahiki ya kumpeleka mwanangu shule.

Asanteni sana ndugu zanguni. Mwenyezi Mungu awabariki.
 
Wanakuja subiri mimi tabora nilipita tu pale airpot.
 
Hawa wenye Joining Instructions Kazima Sekondari mbona hawatokei? Hawaoni kama muda umekwisha nasi tunangoja?
 
Back
Top Bottom