msaada wa haraka jamani

NYAGI DRY

JF-Expert Member
Sep 10, 2011
368
155
habarini wakuu ninaomba msaada wenu , nilikuwa namfanyia mdogo wangu application nacte Jana jioni sasa nikatuma elfu thelatini kwenye mpesa kwa kufuata zile process zao wanazotaka .sasa toka Jana nasubiri confirmation code sijatumiwa na kesho ndio deadline.sasa sielewi ndio hela imeshapotea au ?,nimewapigia voda wamenipa namba za nacte , lakn nacte pia hawapokei nikiwapigia sasa ninechanganyikiwa sana manake sijui nini kinaendelea manake siwez kuendelea na hatua nyingine ....masaada wenu jama n nifanyeje ...manake najua wapo waliopitia kama niliyopitia Mimi ...naombeni jaman tusaidiane!
 
habarini wakuu ninaomba msaada wenu , nilikuwa namfanyia mdogo wangu application nacte Jana jioni sasa nikatuma elfu thelatini kwenye mpesa kwa kufuata zile process zao wanazotaka .sasa toka Jana nasubiri confirmation code sijatumiwa na kesho ndio deadline.sasa sielewi ndio hela imeshapotea au ?,nimewapigia voda wamenipa namba za nacte , lakn nacte pia hawapokei nikiwapigia sasa ninechanganyikiwa sana manake sijui nini kinaendelea manake siwez kuendelea na hatua nyingine ....masaada wenu jama n nifanyeje ...manake najua wapo waliopitia kama niliyopitia Mimi ...naombeni jaman tusaidiane!
NICHEKI NIKUPE MWANGA KIDOGO 0717157467
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom