cement JF-Expert Member May 5, 2012 581 218 Oct 22, 2012 #1 wakuu mnipe msaada maana hali si nzuri sikio linanitesa linauma kwa kuvuma hasa mida ya usiku!!
cement JF-Expert Member May 5, 2012 581 218 Oct 22, 2012 Thread starter #3 Nazjaz said: mkojo ni tiba tosha Click to expand... nachukuwa wa kwangu naweka mkuu?
Mgariga Senior Member Apr 1, 2011 178 62 Oct 22, 2012 #4 Tafuta mafuta ya kuku ndg yangu na imani yatakusaidia