Likasu JF-Expert Member Joined Jan 18, 2011 Posts 858 Reaction score 445 Jul 21, 2016 #1 Wadau nimekwama simu tajwa hapo juu inazima na kuwaka muda wote, nahisi ni tatizo la OS yake imeingia virus. Yeyote ambaye anaweza kusaidia kwa namna yoyote nahitaji msaada wake ili simu ifanye kazi.
Wadau nimekwama simu tajwa hapo juu inazima na kuwaka muda wote, nahisi ni tatizo la OS yake imeingia virus. Yeyote ambaye anaweza kusaidia kwa namna yoyote nahitaji msaada wake ili simu ifanye kazi.
mkuuwamikoa Member Joined Jun 26, 2016 Posts 58 Reaction score 30 Jul 21, 2016 #2 Chap sana kawashtaki TCRA kwa kukuthihaki kuwa simu yako haizimwi Second alternative ruka china chaaaap, jamaa wako vizuri watakurekebishia tu hata kama hauna guarantee.
Chap sana kawashtaki TCRA kwa kukuthihaki kuwa simu yako haizimwi Second alternative ruka china chaaaap, jamaa wako vizuri watakurekebishia tu hata kama hauna guarantee.