Msaada wa formula ya kupanga division katika matokeo ya mitihani

Msaada wa formula ya kupanga division katika matokeo ya mitihani

kabilili

Member
Joined
May 30, 2012
Posts
50
Reaction score
4
Jamani wana JF naombeni msaada wa formula ya kupanga Divisions za matokeo ya mitihani kwenye Microsoft excel yaani mfano Div I, Div II, Div III, Div IV na Div 0.
 
Ungejaribu Youtube nadhani ingekuwa bora zaidi,
Hapa naweza kukuelekeza lakini maelezo yatakuwa marefu mno
 
Ungejaribu Youtube nadhani ingekuwa bora zaidi,
Hapa naweza kukuelekeza lakini maelezo yatakuwa marefu mno
you tube yapo maelekezo mazuri?? au kama vipi nisaidie hayo maelekezo ndugu yangu hivohivo nitakuelewa tu
 
hiyo inategemea na wewe.....unataka uweke kwa limit ipi ya kiwango cha alama ulizonazo......Kama ushawahi itumia IF function itakusaidia.......
 
hiyo inategemea na wewe.....unataka uweke kwa limit ipi ya kiwango cha alama ulizonazo......Kama ushawahi itumia IF function itakusaidia.......
Mfano ni upangaji wa divisions za hapa kwetu Tanzania, mfano thamani ya grade A ni 1, B ni 2, C ni 3, D ni 4 na F ni 5. Kwahyo mwanafunzi akipata A 7 ktk masomo yake anakuwa na div I ya point 7. Je, kuna formula ya kurahisisha kupata divisions za wanafunzi wengne kwakutumia formula maalumu kwenye excel??
 
Mfano mimi nahitaji divisions za hapahapa kwetu Tanzania. Mfano thamani ya grade A ni 1, B ni 2, C ni 3, D ni 4, F ni 5. Kwahyo mtu akiwa na A 7 katika masomo yake anakuwa na division i ya point 7. je, kwenye excel unawezaje ku create formula ya kurahisisha kupata divisions za wengine wanafunzi?
Nimekuelewa kiasi labda subiri raia waje hapa....watakusaidia....
 
ww alex hujui kitu unamhangaisha tu jamaa maana ulisema maelezo marefu na amekwambia umueleze kwa kifupi unavyoelewa au hata ataip vp you tube, sasa unasema umemwelewa kiasi!!? mbona mnapenda kuwapa wenzenu matumaini bandia hata kama hujui chochote!!!??
 
ww alex hujui kitu unamhangaisha tu jamaa maana ulisema maelezo marefu na amekwambia umueleze kwa kifupi unavyoelewa au hata ataip vp you tube, sasa unasema umemwelewa kiasi!!? mbona mnapenda kuwapa wenzenu matumaini bandia hata kama hujui chochote!!!??

Kaka nafahamu sema ni complex kiasi.....sasa atumie link hii itampa mwongozo
 
Hiv kwa grade za mwaka Jana C C C ni division ngapi?
 
Jamani wana JF naombeni msaada wa formula ya kupanga Divisions za matokeo ya mitihani kwenye Microsoft excel yaani mfano Div I, Div II, Div III, Div IV na Div 0.
njoo PM nikufundishe direct ukiwa na network na computer yako! excell by using team viewer!
 
Nisaidiwe nanma ya kukokotoa matokeo ya practical na theory. Practical 50 na theory 100.
 
Back
Top Bottom