Msaada wa elimu: Kilimo cha pilipili

Msaada wa elimu: Kilimo cha pilipili

don xxx

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
1,111
Reaction score
1,018
Habari JF

Nina shamba maeneo ya Kisarawe na ningependa kulitumia kwa kilimo cha pilipili mbuzi japokuwa sina uzoefu na kilimo hicho.

Ninaomba msaada wa kitaalamu kwa kwa wazoefu kuhusu mambo yafuayayo:-

1. Ni mwezi upi ninatakiwa kulima na kupanda?

2. Mbolea gani zinatumika na kwa wakati gani?

3. Soko lake.

4. Mahitaji mengineyo na ushauri wa ziada pia unahitajika.

Asanteni.
 
Habari JF

Nina shamba maeneo ya Kisarawe na ningependa kulitumia kwa kilimo cha pilipili mbuzi japokuwa sina uzoefu na kilimo hicho.

Ninaomba msaada wa kitaalamu kwa kwa wazoefu kuhusu mambo yafuayayo:-

1. Ni mwezi upi ninatakiwa kulima na kupanda?

2. Mbolea gani zinatumika na kwa wakati gani?

3. Soko lake.

4. Mahitaji mengineyo na ushauri wa ziada pia unahitajika.

Asanteni.

Soma hapa mkuu anzishaproject .com utapata maelezo yote kuhusu kilimo cha pilipili
 
Back
Top Bottom