Habari!
Nilikua naomba msaada wa contacts za fundi ambaye anaweza kunitengenezea laptop yangu imezima gafla haiwaki
mkuu pale Mwenge karibu na GHOROFA LA NAKIETE PHARMACY kuna kighorofa kingine kwa mbele yake kama unaelekea bamaga kimeandikwa WATSACCOS hapo hapo kuna mafundi Laptop balaaa aisee