chief mkwawa hii inaapply kwa nokia zote au?..mimi simu yangu haionyeshi kitu kwenye gallery...kama vipi nilikuwa nafikiria niformat ..nikiformat siitakuwa kama mwanzo au kuna system files inabidi niziweke manually???
chief mkwawa hii inaapply kwa nokia zote au?..mimi simu yangu haionyeshi kitu kwenye gallery...kama vipi nilikuwa nafikiria niformat ..nikiformat siitakuwa kama mwanzo au kuna system files inabidi niziweke manually???