Msaada wa business, nina million moja

Msaada wa business, nina million moja

Cathsimon

Senior Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
161
Reaction score
29
Wadau habari zenu,

Nahitaji kufanya business ila sina wazo business gani nianze capital au mtaji ni one million naomba ushauri jamani ni biashara gani naweza kuaza kwa hiyo capital?

Msinikatishe tamaa, naombeni sana
 
Nimekapenda hako katoto kwenye Avatar yako....Back to the point biashara nzuri ni ile ambayo wazo kuu unalianzisha wewe mwenyewe then unaenda kwa wadau kutafutia nyama la wazo hilo lako.....Mfano Mimi naweza kukuambia anzisha biashara ya Grocery kumbe wewe Imani yako haikuruhusu ama fungua duka na usimamie mwenyewe kumbe wewe mwenyewe muajiriwa huwezi pata mda ama nikakuambia fungua kijiwe cha mama lishe upike mwenyewe kumbe we sister du/brother men kunuka moshi noma.....So njoo na idea yako then ni rahisi kujadilika kulingana na mtaji wako....Mil1 sio ndogo kiiiiivyo.
 
Hiyo 1mln umeipataje ? Au unata kubadirisha biashara fafanua hapo
 
Fungua account meridian bet usambaze mikeka baada ya miezi sita itakua na milion 100.
 
Back
Top Bottom