Msaada wa bei za mabati

Msaada wa bei za mabati

Emanzi

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2011
Posts
261
Reaction score
118
Nahitaji kujua bei za mabati ya kawaida gauge 32,30,28
Samahani Sipo tz kwenda Madukani just why
 

ukisema ya kawaida.. kwa watanzania wengi ni haya ya galvanised corrugated iron sheets... mimi ni mzoefu wa bati za kiwanda cha alaf (chapa simba) ambapo roughly bati ya mita 3 gauge 28 ni around 21,000 - 22,000 bei ya reja reja, mita 3 gauge 30 ni around 16,000-17,000, na mita 3 gauge 32 ni around 13,000 - 14,000.

kwa upande wa aluminium sheets inadepend na aina ya profile unayotaka, maxcover, IT 5, IT 4, versatile, roman tile e.t.c lakini bei roughly inaanzia 13,000 - 15,500 per metre. haya yanakatwa kwa urefu wowote unaotaka up to 6 meters na ndo mana bei yake ni kwa mita...

hope tuko pamoja mkuu.
 
ukisema ya kawaida.. kwa watanzania wengi ni haya ya galvanised corrugated iron sheets... mimi ni mzoefu wa bati za kiwanda cha alaf (chapa simba) ambapo roughly bati ya mita 3 gauge 28 ni around 21,000 - 22,000 bei ya reja reja, mita 3 gauge 30 ni around 16,000-17,000, na mita 3 gauge 32 ni around 13,000 - 14,000.

kwa upande wa aluminium sheets inadepend na aina ya profile unayotaka, maxcover, IT 5, IT 4, versatile, roman tile e.t.c lakini bei roughly inaanzia 13,000 - 15,500 per metre. haya yanakatwa kwa urefu wowote unaotaka up to 6 meters na ndo mana bei yake ni kwa mita...

hope tuko pamoja mkuu.
Hata mm nimepata kitu hapa
 
Back
Top Bottom