Msaada wa bei ya simu sumsung galax j7

tiku

JF-Expert Member
Oct 31, 2015
441
259
Habari wana jamii forum, naomba kujua mwenyekufahamu bei ya simu sumsung galax j7 nataka kununua lkn bado nawaza nichukue ipi sasa mimi nimependa hiyo ila sijajua bei.
 
Habari wana jamii forum, naomba kujua mwenyekufahamu bei ya simu sumsung galax j7 nataka kununua lkn bado nawaza nichukue ipi sasa mimi nimependa hiyo ila sijajua bei.
Itakuwa range ya 550,000/
 
bei ya jumla ni 415,000 hivyo mkadirie mwenye duka utampa sh ngapi, around 450,000 sio mbaya.

j7 ya 2016 na j7 prime zinafika 500,000 hadi 600,000
 
Back
Top Bottom