Msaada wa Bei ya Mahindi kwa sasa

Msaada wa Bei ya Mahindi kwa sasa

muta ngegi

Senior Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
191
Reaction score
159
Habari wanajf!
Bila kupoteza muda,naomba kama kuna member anayejua a,b,c...za bei ya mahindi kwa sasa.Mimi nina mahindi nataka kuyauza.Napenda zaidi kama nikipata bei za Dar.
Natanguliza shukrani.
 
Kama unasehemu nzuri na salama ya kuhifadhi sikushauri kuuza saizi mkuu unless unataka kufanya jambo lingine.

Ila kwanini usisage ukapaki unga au ukakoboa then ukauza kama mzabuni?
 
Sok
Mkuu ahsante kwa taarifa!Naomba kuuliza,je soko ni la uhakika?

Soko la kuuza mzigo mkubwa si la uhakika sana maana kama unakuja na gari watu wabebe mzigo papo hapo inaweza kuwa na ugumu kiasi fulani kutokana na hitaji la mahindi kuwa eneo lisilo na watu wengi sana. Nimesema hivyo kwa kuwa nimeyauza mahindi na wiki iliyopita nimepiga stop baada ya kubakiza gunia 3 za debe nane nane na kwa hakika watu wanalia kutokana na mimi kuwastopishia huduma cos wenye mahindi wengine mahindi yako choka mbaya yamebunguliwa mno na bei kwa kilo ni ileile ya sh 500 kwa kilo so kilo 100 ni elfu 50 na itapanda soon maana hata mimi sasa nimewaambia siuzi kilo kwa 500 bali 700 na zaid so najaribu kukusanya gunia kadhaa tena then nauza kwa bei ya faida ya 200 kwa kilo within a week

Ushauri, ngoja niulize mjini kabisa ni sh ngapi kwa sasa maana wao bei yao ilikuwa less kidogo gunia la kilo 100 lilicheza kwenye elfu 40 but vumilia piga dawa nakuhakikishia yakiwa bei nzuri safirisha kuja huku mimi nitakuuzia kwa bei ambayo utapata faida.

Mimi si tapeli namba zangu ni 0755346718 ingia pia facebook kufuatilia profile yangu Herbert Bathlomeo ili tuweze kusaidiana cos mahindi yalinipa loss last year hakika najua maumivu yake
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Sok


Soko la kuuza mzigo mkubwa si la uhakika sana maana kama unakuja na gari watu wabebe mzigo papo hapo inaweza kuwa na ugumu kiasi fulani kutokana na hitaji la mahindi kuwa eneo lisilo na watu wengi sana. Nimesema hivyo kwa kuwa nimeyauza mahindi na wiki iliyopita nimepiga stop baada ya kubakiza gunia 3 za debe nane nane na kwa hakika watu wanalia kutokana na mimi kuwastopishia huduma cos wenye mahindi wengine mahindi yako choka mbaya yamebunguliwa mno na bei kwa kilo ni ileile ya sh 500 kwa kilo so kilo 100 ni elfu 50 na itapanda soon maana hata mimi sasa nimewaambia siuzi kilo kwa 500 bali 700 na zaid so najaribu kukusanya gunia kadhaa tena then nauza kwa bei ya faida ya 200 kwa kilo within a week

Ushauri, ngoja niulize mjini kabisa ni sh ngapi kwa sasa maana wao bei yao ilikuwa less kidogo gunia la kilo 100 lilicheza kwenye elfu 40 but vumilia piga dawa nakuhakikishia yakiwa bei nzuri safirisha kuja huku mimi nitakuuzia kwa bei ambayo utapata faida.

Mimi si tapeli namba zangu ni 0755346718 ingia pia facebook kufuatilia profile yangu Herbert Bathlomeo ili tuweze kusaidiana cos mahindi yalinipa loss last year hakika najua maumivu yake
Ndio maana biashara nyingi zina fail,yani hujui muhusika yupo wapi wewe unamuhamasisha aje auze mahindi Tarime?
 
Ndio maana biashara nyingi zina fail,yani hujui muhusika yupo wapi wewe unamuhamasisha aje auze mahindi Tarime?
Yeye mwenyewe hajalalamika wewe unalalama , umeshafahamu ana shida kiasi gani juu ya mahindi hayo kuwa hapo ?
Tatizo akili za wengi zimejaa utapeli so unadhani kila mtu ni tapeli hata kama ana nia ya kusaidia.

Mtu anayetoa eneo ambalo gunia ni sh 21000 leo apeleke sehemu kwa bei ya 29 000 unaanza kuhesabu gharama za nini? Ndiyo maana nineweka na ushahidi wa mahali nilipo ili ajue kabisa kama ni mbali asifikirie kabisa kuhoji mengine
 
Sok


Soko la kuuza mzigo mkubwa si la uhakika sana maana kama unakuja na gari watu wabebe mzigo papo hapo inaweza kuwa na ugumu kiasi fulani kutokana na hitaji la mahindi kuwa eneo lisilo na watu wengi sana. Nimesema hivyo kwa kuwa nimeyauza mahindi na wiki iliyopita nimepiga stop baada ya kubakiza gunia 3 za debe nane nane na kwa hakika watu wanalia kutokana na mimi kuwastopishia huduma cos wenye mahindi wengine mahindi yako choka mbaya yamebunguliwa mno na bei kwa kilo ni ileile ya sh 500 kwa kilo so kilo 100 ni elfu 50 na itapanda soon maana hata mimi sasa nimewaambia siuzi kilo kwa 500 bali 700 na zaid so najaribu kukusanya gunia kadhaa tena then nauza kwa bei ya faida ya 200 kwa kilo within a week

Ushauri, ngoja niulize mjini kabisa ni sh ngapi kwa sasa maana wao bei yao ilikuwa less kidogo gunia la kilo 100 lilicheza kwenye elfu 40 but vumilia piga dawa nakuhakikishia yakiwa bei nzuri safirisha kuja huku mimi nitakuuzia kwa bei ambayo utapata faida.

Mimi si tapeli namba zangu ni 0755346718 ingia pia facebook kufuatilia profile yangu Herbert Bathlomeo ili tuweze kusaidiana cos mahindi yalinipa loss last year hakika najua maumivu yake
Mkuu habari! Ahsante sana kwa utayari wako,Jamii Forum inabidi iwe hivi ili tuweze kubadilishana uzoefu.Nitakupigia mkuu.
 
Yeye mwenyewe hajalalamika wewe unalalama , umeshafahamu ana shida kiasi gani juu ya mahindi hayo kuwa hapo ?
Tatizo akili za wengi zimejaa utapeli so unadhani kila mtu ni tapeli hata kama ana nia ya kusaidia.

Mtu anayetoa eneo ambalo gunia ni sh 21000 leo apeleke sehemu kwa bei ya 29 000 unaanza kuhesabu gharama za nini? Ndiyo maana nineweka na ushahidi wa mahali nilipo ili ajue kabisa kama ni mbali asifikirie kabisa kuhoji mengine
Chacha nani amekwambia wewe tapeli?Au unataka umtapeli jamaa?Tatizo ninaloliona kwako kwenye biashara hata kama unafanya ni kwa scale ndogo.
Bado huna uzoefu na biashara ya nafaka,kimsingi zaidi ya hapo mkoani kwako huna taarifa za ziada,
Biashara ya nafaka ipo tofauti sana na biashara nyingine,jamaa asipo kuwa makini anaweza kuja Tarime akavuka mikoa kadhaa kufuata 50,000/= wakati hii mikoa anayoivuka ambayo ni karibu na anapotoka bei ni 60,000/=, Kumbe angefahamu angepata faida kubwa zaidi kwani licha ya bei ya mahindi kuwa juu zaidi ya Tarime hata gharama ya usafirishaji nayo ingepunguwa.
Marwa unafanya biashara kwa pupa.
Siri ya biashara ya nafaka ni kuwa na mtandao mpana wa taarifa za bei kwa upana nchini na hata nje ya nchi.
Usipende sana kufanya biashara kwa mazoea Muraaa.
Biashara ni fani sio janja janja Chacha.
 
Chacha nani amekwambia wewe tapeli?Au unataka umtapeli jamaa?Tatizo ninaloliona kwako kwenye biashara hata kama unafanya ni kwa scale ndogo.
Bado huna uzoefu na biashara ya nafaka,kimsingi zaidi ya hapo mkoani kwako huna taarifa za ziada,
Biashara ya nafaka ipo tofauti sana na biashara nyingine,jamaa asipo kuwa makini anaweza kuja Tarime akavuka mikoa kadhaa kufuata 50,000/= wakati hii mikoa anayoivuka ambayo ni karibu na anapotoka bei ni 60,000/=, Kumbe angefahamu angepata faida kubwa zaidi kwani licha ya bei ya mahindi kuwa juu zaidi ya Tarime hata gharama ya usafirishaji nayo ingepunguwa.
Marwa unafanya biashara kwa pupa.
Siri ya biashara ya nafaka ni kuwa na mtandao mpana wa taarifa za bei kwa upana nchini na hata nje ya nchi.
Usipende sana kufanya biashara kwa mazoea Muraaa.
Biashara ni fani sio janja janja Chacha.
Kwanza mimi si mkurya, na mtu huyu kaomba asaidiwe msaada wa masoko sasa kila mtu anatoa information aliyonayo kuliko kudhani tu sipaswi kutoa taarifa ya eneo nilipo kwa kuhofia ati mikoa mingine ina bei kuliko hiyo if sijui kuhusu mkoa mwingine sipaswi kuogopa kutaja kule nilipo aisee. Hivyo sioni dosari hapo na hata kama ni kuuza si anakuja mwenyewe (unaweza kutuma kitu blind blind tu kweli? )

By the way mjini sasa bei ni kubwa zaidi na kuhusu gharama za usafiri you never know pengine ana usafiri wake binafsi. Taarifa za hapa Jf ukiziogopa sana utafeli daily maana mimi nimesaidiwa na watu hapa hapa juu ya vitu vingine katika sekta ya kilimo tena kibiashara kabisa so I won't afraid kumwambia mtu taarifa aliyoomba japo humu humu kuna matapeli vilevile.
 
Kwanza mimi si mkurya, na mtu huyu kaomba asaidiwe msaada wa masoko sasa kila mtu anatoa information aliyonayo kuliko kudhani tu sipaswi kutoa taarifa ya eneo nilipo kwa kuhofia ati mikoa mingine ina bei kuliko hiyo if sijui kuhusu mkoa mwingine sipaswi kuogopa kutaja kule nilipo aisee. Hivyo sioni dosari hapo na hata kama ni kuuza si anakuja mwenyewe (unaweza kutuma kitu blind blind tu kweli? )

By the way mjini sasa bei ni kubwa zaidi na kuhusu gharama za usafiri you never know pengine ana usafiri wake binafsi. Taarifa za hapa Jf ukiziogopa sana utafeli daily maana mimi nimesaidiwa na watu hapa hapa juu ya vitu vingine katika sekta ya kilimo tena kibiashara kabisa so I won't afraid kumwambia mtu taarifa aliyoomba japo humu humu kuna matapeli vilevile.
Mkuu umenena jambo jema sana.Jamii forum ni forum nzuri sana na inasaidia sana.Ni lazima tuwe na tofauti ya KIMTAZAMO lakini mwisho wa siku tusongeshe gurudumu la maendeleo la Taifa letu.Neno kuu la heri ni kuwa ni lazima jukwaa hili litunufaishe wote.Narudia tena hongera sana kwa utayari wako wa kusaidia wenzako kwa dhati.
 
Back
Top Bottom