Msaada wa Ajira yoyote

Msaada wa Ajira yoyote

toure

Member
Joined
Jan 24, 2015
Posts
29
Reaction score
44
Kuna dada anaomba kupata nafasi ya kazi anabachelor ya Accounts IFM,kiukweli huyu dada nimefikia kumuombea sababu ya story yake namie sitoweza kunsaidia kila siku pesa yakujikimu na mwanae.

Mwanaume alimpa mimba akiwa mwaka wa mwisho lakini alijitahidi akamaliza chuo badae mwanaume alimkataa mtoto.

Waungwana tunaomba msaada wakumsaidia ajira ajikimu.

Natumaini mtamsaidia kuweza kuondokana na changamoto zinazomkabili.
 
Arudi kwa huyo mwanaume wake kwa kuwa hakubakwa aliamua kuachia papuchi basi atamuelea tu
 
So hana wazazi??au imekuwaje kuwaje npkaa unamsaidiaaa??
Kuna dada anaomba kupata nafasi ya kazi anabachelor ya Accounts IFM,kiukweli huyu dada nimefikia kumuombea sababu ya story yake namie sitoweza kunsaidia kila siku pesa yakujikimu na mwanae.

Mwanaume alimpa mimba akiwa mwaka wa mwisho lakini alijitahidi akamaliza chuo badae mwanaume alimkataa mtoto.

Waungwana tunaomba msaada wakumsaidia ajira ajikimu.

Natumaini mtamsaidia kuweza kuondokana na changamoto zinazomkabili.
 
Kuna dada anaomba kupata nafasi ya kazi anabachelor ya Accounts IFM,kiukweli huyu dada nimefikia kumuombea sababu ya story yake namie sitoweza kunsaidia kila siku pesa yakujikimu na mwanae.

Mwanaume alimpa mimba akiwa mwaka wa mwisho lakini alijitahidi akamaliza chuo badae mwanaume alimkataa mtoto.

Waungwana tunaomba msaada wakumsaidia ajira ajikimu.

Natumaini mtamsaidia kuweza kuondokana na changamoto zinazomkabili.
Anawazo lolote la biashara ambalo anaweza akalifanya na mwanamke mwenzake hapo mjini Dar es salaam na akawa partner kwa hio biashara? Hilo ndio naweza kumsaidia binafsi
 
Anawazo lolote la biashara ambalo anaweza akalifanya na mwanamke mwenzake hapo mjini Dar es salaam na akawa partner kwa hio biashara? Hilo ndio naweza kumsaidia binafsi
Hana wazo la biashara ila anaweza akasimamia biashara according to her.
 
Mwambie afikirie kuwa freelancer.

She can work on side hustle wakati anaendelea kutafuta hiyo ajira ya kudumu.

Kwasababu yupo home anaweza fanya kazi kama

• Social media manager

• Data, entry

• Content Marketing

• Copy writing

• Facebook Ad

Hizi ni skills hazitumii muda kujifunza. You can master them within a week or two.

Kama anaujuzi na anadhani anaweza kufanya kazi online kama freelancer anaweza angalia hii Freelancing platform ya Kiswahili KaziYako Tanzania | Freelancers Online

Bado mpya kwahiyo she can take advantage wakati watu wengine hawafahamu

Pia anaweza jifunza zaidi kupitia hapa Best way to make money online ni kuuza ujuzi wako. Do you know why? Pitia hapa ufahamu ni kwa jinsi gani - JamiiForums
 
Aisee mwanamke huwa hathamini msaada hasa unapotelewa na mwanaume. Ukimsaidia huona kama ni haki yake kusaidiwa na mwanaume. Ila si wote kwamba wako hivyo.
 
Mwambie afikirie kuwa freelancer.

She can work on side hustle wakati anaendelea kutafuta hiyo ajira ya kudumu.

Kwasababu yupo home anaweza fanya kazi kama

• Social media manager

• Data, entry

• Content Marketing

• Copy writing

• Facebook Ad

Hizi ni skills hazitumii muda kujifunza. You can master them within a week or two.

Kama anaujuzi na anadhani anaweza kufanya kazi online kama freelancer anaweza angalia hii Freelancing platform ya Kiswahili KaziYako Tanzania | Freelancers Online

Bado mpya kwahiyo she can take advantage wakati watu wengine hawafahamu

Pia anaweza jifunza zaidi kupitia hapa Best way to make money online ni kuuza ujuzi wako. Do you know why? Pitia hapa ufahamu ni kwa jinsi gani - JamiiForums
Thanks
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom