Kuna rafiki yangu anamchumba wake hamuamini, alikuwa anahitaji kufuatilia mawasiliano yake. Nasikia kuna sim ambayo akimununulia anaweza kufuatilia mawasiliano yake pasipo muhusika kujua. Ni aina gani ya sm, ni program ipi inatumika, na program hiyo ni ya kudownload au iko ndani ya cm husika?. Msaada kwa wenye uelewa katika hili.