Msaada wa adobe programs

tafta mume
Pole sana. Hiyo michezo unayoifanya unafikiri wote tunafanya. Inaonekana unaona raha sana ya kuitwa mke wa mtu. Utakuwa umetoka kwenye familia ya mashogeer kuanzia babu yako, mjomba wako, baba yako na wadogo zako. Pole sana choko.
Kwa hizi software unazotafuta watakugonga sana. Uzuri huwa siri mashogeer
 
povu la nini mzee
 
am sorry sana mzee naona umefika mbali, all in all tumekutana tuu hum na hunijui nipoje nina elimu gan namm ckujui kabisa. So kausha bas kama unaona nazngua kutumia hilo jina unaweza ukawaambia Mods waniban na pia naomba uwaachie uzi ambao wanaweza kutoa msaada wa mada nilotoa hapo kwa manufaa yangu na ya wengine maana tukianza kutukana hum tutafika mbali af mwenzang nakuona kama opposite sex ( female) maana upo vizur kwenye kuchamba watu. Fanya yaisheeeee mzee
 
Nilikua naona watu wanakuonea ila ULIPOSEMA HTML NI PROGRAMMING LANGUAGE nikaona hapa kuna ukakasi!!

Kwanza umedhalilisha mainjinia kwa kujiita injinia wakati wewe ni janja janja tu!!

Pili japo umejifunza mwenyewe ila bado inaonuesha jinsi ulivyo mweupe kichwani!

Toka lini HTML ikawa programming language? Unajua maana ya programming language?

I suggest ubadilishe id!!
 
 
okey fine mkuu ntakua nmekosea katka uandish bt generally am not computer engineer ni ID tu ya JF kama ww unavojiita apo, ila nna skills ambzo nazifaham abt computer na hzo language zinazotumika katka web developing kama html, css, php nna uelewa nazo na naendelea kulearn kama unataka battle ya html, tuanze kushuka hapa chini am ready
 
nipo namsoma huyu nashindwa nimwambie nini anyway mwanzo ni mgumu akizoea ataacha
 
What's z- index ...

Explain little bit of div tag
Sent using Jamii Forums mobile app
 
It wapo
 
hata kama akiwa online hawezi kujibu mda huo atautumia fresh ku google... kashasema yeye ana degree ya watu wenye mahitaji maalumu hizo elements atazijua wapi??
DOCTYPE html>






ACHA UNANGA


Mwerevu Hukaa kimya, Mpumbavu hupita mbele na kuvimba kichwa. Kama wewe unajua onyesha uwezo.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
SOMA HII


. DOCTYPE html>






ACHA UNANGA


Wewe pia hujui kitu boya tuu. Nliomba softwares kama hauna kaa kimya





Sent using Jamii Forums mobile app
 
DOCTYPE html>






ACHA UNANGA


Mwerevu Hukaa kimya, Mpumbavu hupita mbele na kuvimba kichwa. Kama wewe unajua onyesha uwezo.





Sent using Jamii Forums mobile app
dogo acha ujuaji wa kukariri kubali kueleweshwa utoke kwenye io level ya ujinga hujui hujui tu ukiitaji nitakufundisha bure kabisaa na vifaa vyote nitakutafutia ili utumie jina lako la computer engineer
 
Ukipata key download na crack yake, key unaweza install ukaambiwa ni expired. Dawa ni kuicrack kabisa ukimalizs kuinstall. Utatumia hadi uchoke, ila usije ukaupdate.
 
dogo acha ujuaji wa kukariri kubali kueleweshwa utoke kwenye io level ya ujinga hujui hujui tu ukiitaji nitakufundisha bure kabisaa na vifaa vyote nitakutafutia ili utumie jina lako la computer engineer
Haya ndo maneno mkuu umeongea point sana sio kuanza kumkosoa mtu kisa ID yake kuna mtu mwenye Real Name humu? Au wewe mkuu unaitwa Nyau kweli ? Nikihitaji kufundishwa ntakucheki PM saizi nagonga tutorials nmezpakua YouTube.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…