Msaada wa Admission letter

Msaada wa Admission letter

Joined
Feb 17, 2019
Posts
12
Reaction score
6
Habari wana JF?Mim ni mwajiriwa kada ya Elimu nilikuwa mechaguliwa bachelor degree in road and railway transport logistics management(NIT), Shida yangu kubwa ni kupata admission letter ya chuo tofaut ya NIT ambayo ime andikwa kozi ya bachelor degree in chemistry and mathematics ili niweze kupata kibali cha ruhusa kutoka kwa mwajiri(mkurugenz) ya kwenda Masomon Msaada wenu nafanyaj maana bila admission letter yenye course ya kazi yangu hawawezi nipa kibali.Msaada wenu wa mawazo jaman
 
Salama mkuu.

Ulipoomba NIT ulitakiwa uombe vyuo hata viwili tofauti na NIT kwa course unayotaka kupata admission letter.

Anyways...omba tena vyuo viwili au vitatu ili upate admission letter. Otherwise ufoji.
 
Ni ngumu mkuu kuku patia admission letter ukisha confirm naona wanatuma taarifa TCU maana niliomba koz mbal mbal vyuo tofaut me confirm NIT.
 
Habari wana JF?Mim ni mwajiriwa kada ya Elimu nilikuwa mechaguliwa bachelor degree in road and railway transport logistics management(NIT), Shida yangu kubwa ni kupata admission letter ya chuo tofaut ya NIT ambayo ime andikwa kozi ya bachelor degree in chemistry and mathematics ili niweze kupata kibali cha ruhusa kutoka kwa mwajiri(mkurugenz) ya kwenda Masomon Msaada wenu nafanyaj maana bila admission letter yenye course ya kazi yangu hawawezi nipa kibali.Msaada wenu wa mawazo jaman

nadhani inawezekana
 
Nitafute nikusaidie kufoji.. ila uwe na laki 5 mkononi.
 
Una shingapi ni PM na dau lako nkufanyie mambo
 
Back
Top Bottom