Njema kabisa
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 699
- 238
Ndug wana jamvi kuna mtu anatafuta chuo cha IT kwa Dar,,anataka asome had Diploma ijapokua amepata zero form 4 je afanyeje au ni vyuo vip anaweza kwenda na kutimiza lengo lake? Ushaur kwake pls,
Ndug wana jamvi kuna mtu anatafuta chuo cha IT kwa Dar,,anataka asome had Diploma ijapokua amepata zero form 4 je afanyeje au ni vyuo vip anaweza kwenda na kutimiza lengo lake? Ushaur kwake pls,
Kusafisha hiyo zero, aanzie kwa kusoma kozi za basic computer application ktk vyuo vinavyo tambulika ili apate certificate, baada ya hapo aombe kujiunga na certificate ya IT ktk vyuo vya UCC ambavyo ni vitengo vya UDSM
sema ww ndo una zero, form 4 chet huna alaf unataka kwenda college il ukmalza uende kuomba kazi na cheti cha shule ya msingi na diploma duuuuuhhh umetisha