Mangole Valles Michael
JF-Expert Member
- May 30, 2021
- 339
- 683
Wakuu habari za leo, Kuna shida ambayo naiona KWENYE viganja vya mikono yangu, Viganja vya mikono yangu vinakua vinawasha pamoja na kuchoma choma japo kua Nikwa kiwango kigogo.
Kama wengi wetu tulivyo, unapo patwa na mabadiriko mwilini lazima ujikague, mm binafsi nimefanya hivyo nikagundua sehem inayo washa kwa ndani Kuna kua Kama vile mtu aliye ungua Moto, au aliye fanya kazi ya kulima, nikimaanisha nakiona kile ki ngozi cheupe kinacho Tunga maji baada ya kuungua Moto.
Japo kua kinakua kwa ndani Lakini baada ya masaa machache kinatoweka na kuachana kuwasha upande huo na kuamia upande mwingine wa kiganja Hali inakua vile vile Kama mwanzo.
Hivyo basi kwa anaye fahamu tatzo Hili husababishwa na nini pamoja na matibabu yake naomba msaada wako.
Kama wengi wetu tulivyo, unapo patwa na mabadiriko mwilini lazima ujikague, mm binafsi nimefanya hivyo nikagundua sehem inayo washa kwa ndani Kuna kua Kama vile mtu aliye ungua Moto, au aliye fanya kazi ya kulima, nikimaanisha nakiona kile ki ngozi cheupe kinacho Tunga maji baada ya kuungua Moto.
Japo kua kinakua kwa ndani Lakini baada ya masaa machache kinatoweka na kuachana kuwasha upande huo na kuamia upande mwingine wa kiganja Hali inakua vile vile Kama mwanzo.
Hivyo basi kwa anaye fahamu tatzo Hili husababishwa na nini pamoja na matibabu yake naomba msaada wako.

