Dalili kuu ya kwanza ukiwa kwenye mahusiano na ghafla ukaanza kujiuliza maswali ya namna hiyo basi moja kwa moja mahusiano uliyopo sio sahihi.Ivi mtu utajuaje kama hapa nilipo nipo katika mahusiano sahihi au sio sahihi hapa nilipo ili mtu ujitambue mapema
Hebu tusadieni katika hilii
Ukianza kudadisi hivyo utajikuta tayari umeshagongwa na waganga, mashehe, na manabii uchwaraHivi mtu utajuaje kama hapa nilipo nipo katika mahusiano sahihi au sio sahihi hapa nilipo ili mtu ujitambue mapema?
Hebu tusadieni katika hilii