Nilikuwa na Nokia Lumia lakini imeharibika button ya kuzimia/kuwashia iliyoko pembeni kulia ndani ya miezi 6 toka nimenunua.
Nahitaji kunua smart phone durable na yenye longer battery life. Japokuwa smart phone zina matatizo ya kuisha betri haraka lakini naamini ziko zenye unafuu.
Mbona inaonekana unataka kurudia kosaa ? Ulinunua Lumia
Please kwa mnaoelewa mnijuze
Asanteni.