ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 327
Habari wakuu,
Natarajia kuvuna matikiti Mungu akinijalia ndani ya wiki tatu baada ya changamoto kadhaa za kilimo hiki. Msimu uliopita nlimkabidhi mzigo mmoja wa madalali wa pale Buguruni sokoni lakini kwakweli alinipiga.
Awamu hii nataka niyamwage pembeni ya barabara niuze mwenyewe kwa usimamizi wa karibu zaidi.
1. Je, njia hii inalipa na ina changamoto zozote??
2. Kuna vibali vyovyote inabidi kuomba ofisi za serikali ya mtaa/Halmshauri kwa ajili ya soko hili temporal ambalo si rasmi??
3. Ushauri gani mwingine wa mauzo ambao mnaweza kunipa au hata kama kuna mtu ana dalali mwaminifu anisaidie mawasiliano??
Natarajia kuvuna kama tani 5 hivi.
Asante
Natarajia kuvuna matikiti Mungu akinijalia ndani ya wiki tatu baada ya changamoto kadhaa za kilimo hiki. Msimu uliopita nlimkabidhi mzigo mmoja wa madalali wa pale Buguruni sokoni lakini kwakweli alinipiga.
Awamu hii nataka niyamwage pembeni ya barabara niuze mwenyewe kwa usimamizi wa karibu zaidi.
1. Je, njia hii inalipa na ina changamoto zozote??
2. Kuna vibali vyovyote inabidi kuomba ofisi za serikali ya mtaa/Halmshauri kwa ajili ya soko hili temporal ambalo si rasmi??
3. Ushauri gani mwingine wa mauzo ambao mnaweza kunipa au hata kama kuna mtu ana dalali mwaminifu anisaidie mawasiliano??
Natarajia kuvuna kama tani 5 hivi.
Asante
