King snr JF-Expert Member Joined May 25, 2015 Posts 1,165 Reaction score 1,474 Jan 2, 2023 #1 Naomba msaada kwenye hii sehemu baada ya kujaza nice class ambayo service yangu imo natakiwa kuweka nice class description Ni zipi hizo? Mfano nice class yangu Ni 42 Kwenye nice description naandika nini?
Naomba msaada kwenye hii sehemu baada ya kujaza nice class ambayo service yangu imo natakiwa kuweka nice class description Ni zipi hizo? Mfano nice class yangu Ni 42 Kwenye nice description naandika nini?
Bujibuji Simba Nyamaume Platinum Member Joined Feb 4, 2009 Posts 78,144 Reaction score 166,079 Jan 2, 2023 #2 Naomba uwapigie simu, watakusaidia.0222212800. Pia kama uko Dar es Salaam, tembelea ofisi zao Brela House, Makao Makuu ya zamani ya Jeshi la Magereza.
Naomba uwapigie simu, watakusaidia.0222212800. Pia kama uko Dar es Salaam, tembelea ofisi zao Brela House, Makao Makuu ya zamani ya Jeshi la Magereza.
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,365 Reaction score 100,406 Jan 2, 2023 #3 Mtafute Sharose Enterprise alinisaidia sana, Yuko humu ndani
King snr JF-Expert Member Joined May 25, 2015 Posts 1,165 Reaction score 1,474 Jan 2, 2023 Thread starter #4 Bujibuji Simba Nyamaume said: Naomba uwapigie simu, watakusaidia.0222212800. Pia kama uko Dar es Salaam, tembelea ofisi zao Brela House, Makao Makuu ya zamani ya Jeshi la Magereza. Click to expand... Ngoja niwapigie, siko DSM
Bujibuji Simba Nyamaume said: Naomba uwapigie simu, watakusaidia.0222212800. Pia kama uko Dar es Salaam, tembelea ofisi zao Brela House, Makao Makuu ya zamani ya Jeshi la Magereza. Click to expand... Ngoja niwapigie, siko DSM
King snr JF-Expert Member Joined May 25, 2015 Posts 1,165 Reaction score 1,474 Jan 2, 2023 Thread starter #5 Elli said: Mtafute Sharose Enterprise alinisaidia sana, Yuko humu ndani Click to expand... Asante sana
Elli said: Mtafute Sharose Enterprise alinisaidia sana, Yuko humu ndani Click to expand... Asante sana