Dar lux walianza na higer new model baadaye wakaiacha hiyo routeModern Coast inaondoka Buzuruga sa8 mchana inaingia Nairobi sa12 asubuhi nauli ni 35k kwenda
Darlux walisem wanaanzisha ruti ya mwanza nairobi sijui kama wameshaanza au vipi
hiyo route luxury ni loss.Dar lux walianza na higer new model baadaye wakaiacha hiyo route
Salamu zenu members!
Naomba kujulishwa usafiri ulivyo kutoka Mwanza kwenda Nairobi..
1:Ni basi gani ni reliable na bei imekaaje..
2:Mpakani wanauliziaga Yellow fever vaccination certificate?
Nashukuru kwa msaada..