Msaada unaitajika

Msaada unaitajika

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,455
Reaction score
6,465
Wakuu naomba kujua jinsi ya kumwita jini live na kuongea nae kwa njia za short cut na akaja🙏🏽.
IMG-20240912-WA0284.jpg
 
Unajiita Magical power halafu hujui kuita majini

Kuna jamaa fulani aliwahi niambia unachukua "Quran" unaenda kuikanyaga chooni miguu yote miwili , Hapo unaliita jini Makata unalituma kwenda kumdhuru yeyote..

NB: Kua makini mana jamaa alisema ukiingiza hofu tu unapasuka matumbo au unachanganyikiwa milele...

Kwa upande wangu mi naona ni FAIRLY TALES tu ..
 
Unajiita Magical power halafu hujui kuwaita majini ...

Kuna jamaa fulani aliwahi niambia unachukua "Quran" unaenda kuikanyaga chooni miguu yote miwili , Hapo unaliita jini Makata unalituma kwenda kumdhuru yeyote..

NB: Kua makini mana jamaa alisema ukiingiza hofu tu unapasuka matumbo au unachanganyikiwa milele...
hii mlikuwa kijiweni bila shaka ndo ukawatishia ili muheshimu tamaduni za watu.
 
Unajiita Magical power halafu hujui kuwaita majini ...

Kuna jamaa fulani aliwahi niambia unachukua "Quran" unaenda kuikanyaga chooni miguu yote miwili , Hapo unaliita jini Makata unalituma kwenda kumdhuru yeyote..

NB: Kua makini mana jamaa alisema ukiingiza hofu tu unapasuka matumbo au unachanganyikiwa milele...

Kwa upande wangu mi naona ni FAIRLY TALES tu ..
Mkuu kua magical so ndo nimemaliza Kila kitu naitaji elim mpya ambayo Sina Nina ujuzu wa kuita nilicho andika but nachukua mawazo mapya niendelee na ujuzi wangu
 
Mkuu kua magical so ndo nimemaliza Kila kitu naitaji elim mpya ambayo Sina Nina ujuzu wa kuita nilicho andika but nachukua mawazo mapya niendelee na ujuzi wangu
Chukua hyo halafu nimesahau , inatakiwa uwe usiku mtulivu .
 
Back
Top Bottom