josephthadey
Member
- Dec 19, 2014
- 8
- 2
kanda ya pwani.....!morogoro ipo bara au pwani wasomi nipeni jibu utaje sifa za pwani na bara.
C kwel Dar mwanz ni mbal
Hapa ukifuata ushauri wa wengine unaweza kujikuta uko Congo Ulanga na Mwanza mnafika sawa??
Umeshawahi kufika Ulanga? Mwanza?
Ndio nshawahi
hivi siku hizi jiografia haifundishwi shule za msingi? wilaya kongwe iliyopo mkoa kongwe kama Morogoro mtu hawezi kuwa hajui ilipo maadamu umesoma na kuhitimu elimu ya msingi Tanzania hii.
Wewe upo sehemu gani?
Naongezea hapo,Ukiwa pale kivukoni Mto Kilombero,ukiwa upande huu wa Ifakara upo Wilaya ya Kilombero,ukivuka upande wa pili tayari upo Wilaya ya Ulanga.
naombeni kuliiza halmashauri ya wiliya ya ulanga,iko mkoa ganii??
niko dar
hivi siku hizi jiografia haifundishwi shule za msingi? wilaya kongwe iliyopo mkoa kongwe kama Morogoro mtu hawezi kuwa hajui ilipo maadamu umesoma na kuhitimu elimu ya msingi Tanzania hii.
Ahsante mkuu...mwakashinaKaribu Ulanga Rubi zilikozaliwa,mabasi ya huku ni ya kigumu tu lakini kwakuwa ajira ngumu,vumilia tu.
Ahsante mkuu...mwakashina
naombeni kuliiza halmashauri ya wiliya ya ulanga,iko mkoa ganii??