Jitahidi kuandika vizuri dogo hapa si facebook,ni great thinkers palace. Kukusaidia aliyesema anayetoka Dar to Mwanza na Dar to Mahenge (Ulanga) wanaweza kufika pamoja ni kwa sababu ya logistics
siyo umbali. Ukitoka Mahenge asubuhi ya saa kumi na mbili unafika Dar saa kumi tena hapo kama mvua hazinyeshi.
Ulitoka Dar saa ngapi ukafika Ulanga saa ngapi na ilikuwa ni majira gani ya mwaka? Kumbuka Ulanga tunayoizungumzia hapa ni Mahenge makao makuu ya wilaya
hivi siku hizi jiografia haifundishwi shule za msingi? wilaya kongwe iliyopo mkoa kongwe kama Morogoro mtu hawezi kuwa hajui ilipo maadamu umesoma na kuhitimu elimu ya msingi Tanzania hii.
Ulanga District (Mahenge District) is one of the six districts of the Morogoro Region of Tanzania. the administrative seat is in Mahenge. It covers 24,460 square kilometres (9,444 sq mi) of which 4,927 square kilometres (1,902 sq mi) is in forest reserves. Ulanga District is bordered to the north and west by the Kilombero District, to the east by the Lindi Region and to the south by the Ruvuma Region.
Naongezea hapo,Ukiwa pale kivukoni Mto Kilombero,ukiwa upande huu wa Ifakara upo Wilaya ya Kilombero,ukivuka upande wa pili tayari upo Wilaya ya Ulanga.
Dar- moro kuna km umbali wa Kilometa 180....na Moro- Mahenge umbali wa kilomita kama 280 hivi...kwahiyo siyo sawa na kutoka dar kuenda Mwanza. Dar hadi mwanza kuna umbali kama wa kilometa 825 hivi
hivi siku hizi jiografia haifundishwi shule za msingi? wilaya kongwe iliyopo mkoa kongwe kama Morogoro mtu hawezi kuwa hajui ilipo maadamu umesoma na kuhitimu elimu ya msingi Tanzania hii.