rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,170
- 43,974
Hapanaa usiridhike nenda Hospital nyinginee aisee unaweza kumkosaa mtoto...!! Tusiishi kwa mazoeaaa...Ahsante kwa Faraja mpenzi
Hapanaa usiridhike nenda Hospital nyinginee aisee unaweza kumkosaa mtoto...!! Tusiishi kwa mazoeaaa...Ahsante kwa Faraja mpenzi
Jamani msaada!nina ndugu yangu ni mjamzito wa mtoto wake wa pili Kwasasa una muda wa wiki 41 ndio imeanza!
Mimba yake ya kwanza alijifungua kawaida katika wiki ya 37 salama kabisa!sasa ujauzito huu wapili umemsumbua saaana mpaka leo hii hajajifungua na hakuna dalili!
Tarehe ya makadilio kwenye kadi iliandikwa tarehe 17/07 na baada ya Ultrasound ilisoma atajifungua tarehe 27/07 ila mpaka leo bado bilabila!mama amechoka saana!!!hospt wamemwambia asubiri mpaka tarehe 29/7 ndipo arudi tena watajua cha kufanya!![emoji17]
Msaada kwa aliyepitia changamoto hii alifanyaje
karibuAhsante kwa Faraja mpenzi
Rikiboy unazingua...Hapanaa usiridhike nenda Hospital nyinginee aisee unaweza kumkosaa mtoto...!! Tusiishi kwa mazoeaaa...
mkuu kweli ultrasound inaweza kosea kukadiria siku ila not to that extent pia ultrasound haiitaji kujua conception date kufanya right apprximation... ila all in all inategmea kaenda hospital gani trust me.Rikiboy unazingua...
Wapishi wengi huharibu mchuzi..
As long as mtoto anacheza, uss imeonesha yuko.vizuri, ameshageuka, basi hamna haja ya kuwa na wenge..
Kwanza inawezekana huyo mama hajui alishika mimba lini, na uss huwa inakadiria tuu haitoi exactly date of conception, usikute hapo alipo mimba ina wiki 35...
Akae kwa kutulia tuu, as long as mtoto anacheza basi hakuna kilichoharibika.
Msipate taharuki kipindi hiki.... Relax na kila kitu kitaneda sawaAhsante mkuu tulienda ndio tukaambiwa hivyo!sasa mama amepata taharuki kubwa
Mmmh thanx mkuu kwa haya maelezo...japo ni utachoka mpaka ukomee[emoji26]Ni kweli, mpaka wiki ya 42 bado ipo ndani ya muda sahihi. Ikizidi hapo then ndio watai-term kama postdate.
Pia kwa research zilizofanywa na wenzetu inaaminika kuwa watoto wanaochelewa kuzaliwa wanakuwa na uwezo mkubwa wa akili.
Vuta subira kidogo.
Sawa kipenzi ....nakumbuka ule uzi wako ulikuwa mama k, nilikuwa nakufatilia sanayeah japo ni wachache hufika huko, s unajua hua mimba inahesabiwa kwa wiki na sio mwezi mana kila wiki kunakua na mabadiliko kwamtoto wengine hujifungua kuanzia wiki 36, wiki 38, wiki 40 na had hukoo wiki42 yan ikifika hio 42 uchungu haujaanza automatic watakuanzishia tu
Yawezekana mama hajui siku yake ya mwisho kuanza kuziona ck zakeJamani msaada!
Nina ndugu yangu ni mjamzito wa mtoto wake wa pili Kwasasa una muda wa wiki 41 ndio imeanza.
Mimba yake ya kwanza alijifungua kawaida katika wiki ya 37 salama kabisa!sasa ujauzito huu wa pili umemsumbua saaana mpaka leo hii hajajifungua na hakuna dalili.
Tarehe ya makadilio kwenye kadi iliandikwa tarehe 17/07 na baada ya Ultrasound ilisoma atajifungua tarehe 27/07 ila mpaka leo bado bilabila! Mama amechoka saana. Hospitali wamemwambia asubiri mpaka tarehe 29/7 ndipo arudi tena watajua cha kufanya!![emoji17]
Msaada kwa aliyepitia changamoto hii alifanyaje.