chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,367
- 27,773
Habari wakuu,.
Kuna ndugu yangu ameitwa katika usaili tarehe 26 mwezi huu Dar es salaam,.
Yeye kajiajiri katika biashara ndogo ndogo ambazo zinampatia riziki siku zinaenda.
Naomba kujua kwa wale wanaofahamu kuhusu kiasi gani cha mshahara kwa makadirio wanalipwa kwa ngazi ya COPLO na CONSTABO.
Yeye yupo Mara anataka afanye maamuzi sahihi katika hili.
Natanguliza shukrani,..
Kuna ndugu yangu ameitwa katika usaili tarehe 26 mwezi huu Dar es salaam,.
Yeye kajiajiri katika biashara ndogo ndogo ambazo zinampatia riziki siku zinaenda.
Naomba kujua kwa wale wanaofahamu kuhusu kiasi gani cha mshahara kwa makadirio wanalipwa kwa ngazi ya COPLO na CONSTABO.
Yeye yupo Mara anataka afanye maamuzi sahihi katika hili.
Natanguliza shukrani,..