Bullshit!!! So called uchawi haupo wala nini. Ukiona mtu anahusudisha sana hayo mambo ya uchawi basi ujue huyo ana dalili za kurukwa na akili kwa sababu uchawi ni imani na si kitu ambacho kipo. Mwisho wake mtu huyo aaminiye uchawi huweza kuishia kudata na kuwa kichaa/ mgonjwa wa akili.
Kama uchawi upo na kama humu kuna wachawi mimi nasema ku##@mae zenu na nilogeni kama mna ubavu.
Ha! Ha! Ha! Ha! Nyani bhana! Hata kabla ya YESU, Wakati wa Farao uchawi ulikuwepo na bado upo wewe bisha tu wanaweza wakukarabati mpaka hizo 120 zako ukaamka ukazikuta usoni shauri yako!
unakosea kak coz hata vitabu vyote vya iman vina kubali huwepo wa uchawi na shetani..ukisem hvyo unakuw unapinga vitabu vya imani yako.
Nakupa siku 3 za kuomba radhi.
Toka lini vitabu vya imani vikazungumzia vitu vya kweli vilivyopo kiuhalisia?
Unajua maana ya imani wewe?
what mind believe and conceive is what mind achieve....kama unaifahamu rangi nyeupe na nyeusi utaifahamu pia...na kama unaijua baridi hali kadhalika joto utakuwa unalifahamu....kama unaamini mungu basi jua kuna kinyume chake na hapo ndipo uchawi unapoanzia....believe me.......
hivi haya mambo ya imani, si halisi?
Inawezekana wajanja wanatupiga hela hili eneo?
na kwnn wakupige hela wakati umepewa akili na utashi?
Roho mtakatifu anakujulisha kila kitu!!
imani>ni kuwa na uhakika na mambo yatarajiwayo!!!
>>ni bayana ya mambo yasiyoonekana!!!!
Toka lini vitabu vya imani vikazungumzia vitu vya kweli vilivyopo kiuhalisia?
Unajua maana ya imani wewe?
umemaliza mkuu
uchawi upo rejea biblia
musa alivyokuwa kwny harakati za kuwakomboa waisrael, fimbo yake ilipogeuja nyoka na kumeza wale nyoka wadogo.....kasome biblia
nyani..kuna jamaa alizngua hvyo hvyoo..ila ungekuwa karibu ningeweza kukupa dvd...flan hiv ya wazee wa kibongo wakiwa wamedakwa n wana confes mambo yao...
Badala ya kuomba radhi hilo tusi na wewe likufikie. Haya, kama una ubavy niroge sasa.....
Nitumie jina lako pamoja na jina la mzazi wako wa kike.
Nisipokufanya shoga basi nitakufanya chizi.