Bwana Chiniko
Member
- Jul 18, 2016
- 20
- 9
Heshima kwenu wakubwa zangu wa jukwaa hili na marahaba kwa wale wote niliowatangulia kuliona jua.
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa takatifu wiki moja iliyopita, hivyo tukapanga tukatembee nchini Afrika Kusini.
Maana tangu kuzaliwa kwetu hatujawahi fika katika nchi hiyo na sio siri wote tunahamu ya kwenda kutoa ushamba.
Ifahamike kwamba sio mimi wala mke wangu aliyewahi kupanda ndege tangu kuzaliwa kwetu. Nahitaji kuelekezwa taratibu za ukataji tiketi, kupata passport ya kusafiria na namna ya kuingia airport kupanda chombo kuelekea South Afrika. Ili tusionekane washamba wa mambo ya kidigital.
Nb: Afrika Kusini nina ndugu, jamaa na marafiki wengi wanaishi huko, hivyo sehemu yakufikia sio shida.
Nawasilisha kwenu.
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa takatifu wiki moja iliyopita, hivyo tukapanga tukatembee nchini Afrika Kusini.
Maana tangu kuzaliwa kwetu hatujawahi fika katika nchi hiyo na sio siri wote tunahamu ya kwenda kutoa ushamba.
Ifahamike kwamba sio mimi wala mke wangu aliyewahi kupanda ndege tangu kuzaliwa kwetu. Nahitaji kuelekezwa taratibu za ukataji tiketi, kupata passport ya kusafiria na namna ya kuingia airport kupanda chombo kuelekea South Afrika. Ili tusionekane washamba wa mambo ya kidigital.
Nb: Afrika Kusini nina ndugu, jamaa na marafiki wengi wanaishi huko, hivyo sehemu yakufikia sio shida.
Nawasilisha kwenu.