Una dada yako ambaye ni mjamzito baada ya kubakwa na kutokana na hiyo issue kutoa hiyo mimba anataka ila anahofia kuua kiumbe kisicho na hatia tumboni na kuiacha hiyo mimba anataka ila ana hofu huyo mtoto atakuwa anamkumbusha tukio la kubaka kwake sasa utamshauri nini?
Naomba mawazo yenu ndugu zangu.
Naomba mawazo yenu ndugu zangu.