Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,845
- 2,667
wadau ningependa mnijuze na ikiwezekana kupata tiba ya huyu mzazi wangu.
Ni kwamba, aliwahi kupata ajali miaka mingi iliyopita na kuumia mguu (hii sehemu ambayo unaweza kupigia mpira) Kilichifanyika, alitolewa ngozi kiasi sehemu ya mwili ikawekwa pale mguuni.
Sasa miaka hii ya uzeeni, mguu ulikwaruzika na ile ngozi inakuwa ngumu kushikana na kufunga, so kidonda hakiponi na ni muda sasa. nahitaji sana apone lakini pamoja na juhudi za hospitali bado panasumbua. hopefully kuna mwana JF atakayekuwa na suluhu katika hili.
Naombeni mawazo yenu
Ni kwamba, aliwahi kupata ajali miaka mingi iliyopita na kuumia mguu (hii sehemu ambayo unaweza kupigia mpira) Kilichifanyika, alitolewa ngozi kiasi sehemu ya mwili ikawekwa pale mguuni.
Sasa miaka hii ya uzeeni, mguu ulikwaruzika na ile ngozi inakuwa ngumu kushikana na kufunga, so kidonda hakiponi na ni muda sasa. nahitaji sana apone lakini pamoja na juhudi za hospitali bado panasumbua. hopefully kuna mwana JF atakayekuwa na suluhu katika hili.
Naombeni mawazo yenu