web engineer
Member
- Mar 19, 2012
- 55
- 0
Salaam.
Kuna jamaa yangu,huwa kira mara usiku anaongea wakati amelala. Mara kuna siku alishutuka na kuruka kitandani.
Naombeni kujuwa tatizo ni nini?
Asanteni
Kuna jamaa yangu,huwa kira mara usiku anaongea wakati amelala. Mara kuna siku alishutuka na kuruka kitandani.
Naombeni kujuwa tatizo ni nini?
Asanteni