data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,945
- 23,891
Same heereee........Nimekumiss sjakuona mudaaa
Same heereee........Nimekumiss sjakuona mudaaa
Nice advice to them "hers"Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
Amina MtumishiWakati huu wa baridi navaa sweta langu na wakati wa kulala najifunika blanketi langu zito..sitaki shida na mtu, nafunga zipu naepuka vishawishi
Ahahahaha hahahahhaWakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
Ni sheedahHali inashawishi sn,hasa ukiwa peke yako kitandani halafu kamvua nje
Moyo unaenda mbio.Ni sheedah
Moyo unaenda mbio.Ni sheedah
Wadanganye watoto wenzio....Niaje wadau wa jf MMU?!
Nyie wenzetu mnajionaje na hali na kabaridi haka labda?!
Maana me na genyeka mpaka basi, naombeni njia mbadala maana hapa karanga nimemaliza, korosho tayari, supu zote nimekunywaaa, hot chocolate usiseme, ndizi choma nishapigaa, kuku choma tayar, yani hapa nakaukaaa
Na hivi shem wenu kasafiri, basi nimeganda kama nguzo
Wenzetu baridi hiii mnaji hifadhi vepee?!
Kiru ndooooroooboeeMoyo unaenda mbio.
Yani kama mie tangu Jana natamani papuchi balaa.
BaridaaWadanganye watoto wenzio....
kuwa makini mkuuAhahahaha hahahahha
Ngoja nibadilishe basi niweke website yanguHII SIGNATURE YAKO HII MMMMH UNAMAMAANISHAJE VILE ??? 1st Class Beeeeeyaaaaaaaaaach!............................
Akue nipo msibani MoshiNije nikutoe hiyo barid
Ukirud nijeeAkue nipo msibani Moshi
Usije me mke wa mtuUkirud nijee
HAYA BHANA NAONA UMEBADILISHA GEAR ANGANINgoja nibadilishe basi niweke website yangu