Msaada tutani: Hali ya hewa

Msaada tutani: Hali ya hewa

Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
 
Wakati huu wa baridi navaa sweta langu na wakati wa kulala najifunika blanketi langu zito..sitaki shida na mtu, nafunga zipu naepuka vishawishi
 
Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
Nice advice to them "hers"
 
Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
Ahahahaha hahahahha
 
Niaje wadau wa jf MMU?!

Nyie wenzetu mnajionaje na hali na kabaridi haka labda?!

Maana me na genyeka mpaka basi, naombeni njia mbadala maana hapa karanga nimemaliza, korosho tayari, supu zote nimekunywaaa, hot chocolate usiseme, ndizi choma nishapigaa, kuku choma tayar, yani hapa nakaukaaa

Na hivi shem wenu kasafiri, basi nimeganda kama nguzo

Wenzetu baridi hiii mnaji hifadhi vepee?!
Wadanganye watoto wenzio....
 
HII SIGNATURE YAKO HII MMMMH UNAMAMAANISHAJE VILE ??? 1st Class Beeeeeyaaaaaaaaaach!............................
 
Back
Top Bottom