Msaada tutani: Hali ya hewa

Msaada tutani: Hali ya hewa

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,560
Niaje wadau wa jf MMU?!

Nyie wenzetu mnajionaje na hali na kabaridi haka labda?!

Maana me na genyeka mpaka basi, naombeni njia mbadala maana hapa karanga nimemaliza, korosho tayari, supu zote nimekunywaaa, hot chocolate usiseme, ndizi choma nishapigaa, kuku choma tayar, yani hapa nakaukaaa

Na hivi shem wenu kasafiri, basi nimeganda kama nguzo

Wenzetu baridi hiii mnaji hifadhi vepee?!
 
jamani tumbo lote lako ilo au umeongeze na lajirani yako......weee ufai unatia hasara family

alafu naenda kukushtaki kwa askofu gwajima maana unakula kama nini duuuh
 
Tafuta MWANAMKE bar umteke
Best me msichana wa nini wakati me mwenyewe msichana? Kiru!

Weka unga wa ngano huko halafu umwagie pilipili kichaa huko.NB:UNGA UWE KILO 1
Du kweli ushauri wa ki diktetaaa

Kuna yule binti alileta uzi humu jinsi ya kusugua papuchi kwa kutumia meza/Makochi...utafute upate maujuzi..
Mweeee shida yote ya nini wakati dildos zimejaa kibao GSM mall! Hehe

jamani tumbo lote lako ilo au umeongeze na lajirani yako......weee ufai unatia hasara family

alafu naenda kukushtaki kwa askofu gwajima maana unakula kama nini duuuh
Du! Makubwaaa ivi Gwajima ndo nan tenaa?
 
Niaje wadau wa jf MMU?!

Nyie wenzetu mnajionaje na hali na kabaridi haka labda?!

Maana me na genyeka mpaka basi, naombeni njia mbadala maana hapa karanga nimemaliza, korosho tayari, supu zote nimekunywaaa, hot chocolate usiseme, ndizi choma nishapigaa, kuku choma tayar, yani hapa nakaukaaa

Na hivi shem wenu kasafiri, basi nimeganda kama nguzo

Wenzetu baridi hiii mnaji hifadhi vepee?!


vitu vyotee hivyoo umekula ukijamba siitakuwa tatizo asee.
 
Back
Top Bottom