Kwa yeyote anaeweza kunisaidia jamani......
Nasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sasa nimetumia madawa sana na nimefanya mpaka endo scope
pale Agakhan Hospital kujua tatizo ni nini lakini bado linanisumbua
tatizo lenyewe:
Kila ninapokula chakula mchana nikimaliza baada ya mda mchache tumbo linaniuma sana
na kujaa gas nikienda chooni naharisha nashughuli inaishia hapo na linaacha kuuma mpaka kesho yake
tena nikila chakula.....ila nikila vitu vikavu km cake,nuts pamoja na vinywaji km juice au soda huwa haliumi kabisa
hili linatokea nikila mchana tu usiku na asubuhi hakuna tatizo
Naomba msaada wenu jamani
Nasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sasa nimetumia madawa sana na nimefanya mpaka endo scope
pale Agakhan Hospital kujua tatizo ni nini lakini bado linanisumbua
tatizo lenyewe:
Kila ninapokula chakula mchana nikimaliza baada ya mda mchache tumbo linaniuma sana
na kujaa gas nikienda chooni naharisha nashughuli inaishia hapo na linaacha kuuma mpaka kesho yake
tena nikila chakula.....ila nikila vitu vikavu km cake,nuts pamoja na vinywaji km juice au soda huwa haliumi kabisa
hili linatokea nikila mchana tu usiku na asubuhi hakuna tatizo
Naomba msaada wenu jamani