Msaada; Tofauti ya Ampia na Watt

Msaada; Tofauti ya Ampia na Watt

Realbest

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2013
Posts
812
Reaction score
301
Kuna tofati gani kati ya volt Watt na Ampia? Unakuta Adapter inatoa volt 12 ina Ampia 2. Au unakuta charger ya simu inatoa volt 5 na Ampia ni 1.5 au 2? Au unakuta Tv guard au volt guard imeaandikwa Ampia 5 au 7. Ni tofauti?

Msaada napenda kujifunza!
 
reference


chukulia voltage ni pressure ya maji,

current ni flow ya maji

literally speaking, pressure ya maji mathalan kwenye mfumo wa bomba haibadiliki, flow ya maji ndio hubadilika kutegemea na kipenyo cha bomba


chukulia pressure ya maji ni X ( sawa na adapter ya volti X )

na unataka kujaza tenki ( kuchaji betri ya simu ) , ukatumia pipe kubwa kutoka chanzo (size ya waya kubwa) mpaka kwenye tenki (betri) , flow ya maji (current ) itakua kubwa tenki (betri) litajaa fasta

kwa pressure iyoiyo ya maji, ukatumia pipe ya size ndogo kutoka chanzo mpaka kwenye tenki husika, flow itakua ndogo tenki litakawia kujaa
 
reference


chukulia voltage ni pressure ya maji,

current ni flow ya maji

literally speaking, pressure ya maji mathalan kwenye mfumo wa bomba haibadiliki, flow ya maji ndio hubadilika kutegemea na kipenyo cha bomba


chukulia pressure ya maji ni X ( sawa na adapter ya volti X )

na unataka kujaza tenki ( kuchaji betri ya simu ) , ukatumia pipe kubwa kutoka chanzo (size ya waya kubwa) mpaka kwenye tenki (betri) , flow ya maji (current ) itakua kubwa tenki (betri) litajaa fasta

kwa pressure iyoiyo ya maji, ukatumia pipe ya size ndogo kutoka chanzo mpaka kwenye tenki husika, flow itakua ndogo tenki litakawia kujaa
Ahsante mkuu sasa
Nilitaka kujua utofauti wake upoje!?

Japo nashukuru kwa 25% nimekuelewa.
 
In a layman explanation!!


Watt (W) ni unit/kizio cha power, kina signify uwezo/capacity ya kufanya kazi. e.g machines or any system.

Watt ni jina la engineer na mwanasayansi m-Scottland and GB, James Watt, mtaalamu wa steam engine.

So Watt ni nishati/energy iliyo fanya kazi kwa muda Fulani,
Power (watt) = Energy (Joule)/ Time (second)



Volt(V) ni unit ya voltage, inaashilia ni nguvu kiasi gani inayosukuma electrons kwenye wire kutoka point/component moja kwenda nyingine.

Volt inatokana na mgunduzi wa betri ya umeme, mwanasayansi Muitaliano Alessandro Volta.

Ampere (I) ni kizio cha current(I). Ampere ni load/mzigo kiasi gani umekua/unaoweza kua connected kwenye umeme. e.g loads are lamps, maotor, heaters, pumps, etc.

Ampere ni jina la mwanasayansi mfaransa, Andre-Marie-Ampere.

Honourable mention, resistance (Ohm) after German scientist Georg Simon Ohm


____________________________

Voltage(V) hai flow/haitembei kwenye wire bali Current(Ampere) ina flow/inatembea.

Voltage ndio huzalisha current (ampere), kinyume chake sio.
How?
Answer:
Betr ni electrolytic phenomenon (electrochemistry). Movement za ions ndo huzalisha amount ya voltage ambayo ni nguvu inayosukuma electrons/current Electrons ndani ya wire ni negative na stationary/hazitembei
Ukichukua betr ukaunganisha, electrons zitavutwa upande wa +ve side wa betr na kusukumwa upande wa -ve side wa betr. Hichi kitendo kinatokea kwa spidi ya mwanga/Electric field. Hapa electrons zitatembea/shake kutoka -ve kuelekea +ve side ya betr, kitendo cha electrons kushake/tembea kutazalisha nguvu kinzani kuelekea upande tofaut na electrons hii nguvu ndo current(ampere).

________________

Watt = Volt x Ampere
Watt = electrical energy / time

So Watt ni kiasi Fulani cha volt mara ampere kilichofanya kazi kwenye load X kwa muda Fulani.

Machine au load yenye power X watts maana yake inahitaji Y volts na Z amperes ili ifanye kazi. Kwahiyo watt inategemea volt na ampere.

Charger yenye 5V DC na 2A inamaanisha hii chaja inaweza kusukuma load inayohitaji maximum volt 5 na ampere 2 na kushuka chini ya hizo values

Chaja hai consume 2A, bali inatoa volt 5 na inaweza kusukuma mzigo wa ampere 2


5V and 2A chaja vs 12V vs 2A chaja? The difference is charging speed/performance, more like 10W vs 24W !!!!

5V 2A vs 12V 1.5A ??
still 12V is faster than 5V charger


12V ni force kubwa sana kuliko 5V katika kusukuma electrons au 2A load.
Nisawa na pump ya watt 1200W na 500W zisukume lita 20 za maji hee kwa sekunde 🤔

Je, kama chaja ya 5V na 2A maana yake napata power ya 5x2=10watts, kwahiyo nikiweka load ya 2V na 5A itafanya kazi maana hata load ina 10watts? Kwanza maranyingi vifaa vya electronics, voltage zake hua ni power supply hapohapo na logic level (0 or 1), kwahiyo specific voltage ya kifaa inamaana yake. Chaja 5V , load 2V ..yes logo level itasoma HIGH(binary 1) lakini je field yake itaweza kisupply power requirements za resistors, capacitors and co???. Chaja 2A, load 5A, ok kama 5A ni relay haitafanya kazi kwenye 2A chaja hata kama power ni 10watts for both relay na chaja. Maana heating ambayo 5A atasababisha ni ndogo kwa heating ya 2A kwenye relay coil.



Ampere ni mahitaji ya load sio chaja
Volt ni rating ya voltage ya chaja na load
Watt ni volt mara ampere = power

Ukiweka load ya 5V na 3A kwenye chaja ya 5V na 2A, chaja inaungua sababu italazimishwa isukume 3A wakati uwezo wake ni 2A. etc



Kwanini Ampere, Volt na Watt?
chukulia mfano filament bulb.
Filament ni wire mdogo uliokunjwa ndani ya filament bulb.
Filament bulb iliyokua rated 40W haimanishi chochote bali inamaanisha hii bulb inahitaji volt X na ampere Y ili iwake. Ok tanesco wanatoa 230V. Ampere haiji na tanesco ni load/bulb ndo itahitaji ampere kiasi gani iwake.
Ule mkunjo wa waya(filament) ndani ya bulb umekunjwa katika resistance (R) flani. Ili filament itoe mwanga inabidi electrons/current iflow. Ukiconnect volt 230V, peak, electric field inaflow mpaka kwenye filament inazifanya electrons za filament zi vibrate kwa sababu filament imejikunja/resistance basi electrons zinaanza kugongana na kusababisha heating, heating ikizidi itaanza kutoa mwanga kama effect ya collision. Je current (ampere) ikowapi hapa???
Nkkitaka kujua bulb yangu inatumia ampere kiasi gani nachukua
Ampere = Volt ya tanesco / resistance
Resistance = resistance ya filament
Au
Ampere = power (40w)/ volt (230v)
Current(peak) = 0.1739Ampere
Kwahiyo bulb yangu ni load ya 0.1739A

Ili kurahisisha kwa mteja, load/load inafanyiwa testing kujua inakula ampere kiasi gani and hence unanunua inakua rated already kua inakula ampere kiasi hiki.



Generally, rating ya Volt na Ampere kwenye kifaa cha umeme inamaanisha atleat volt ya load iwe chini na ampere ya load iwe chini. Yaani overall power ya load iwe chini ya power ya chaja for better performance and reliability ya charger.


NOTE: these were nonlinear (electronics loads)

There are inductives, capacitive loads where power factor holds.

Kuna swali lingine?

Regards,
Engineer
 
Kwa kifupi voti ni kama SAHANI ya kubeba chakula na CHAKULA chenyewe ni Ampere na WATT ni uwezo wa sahani kubeba chakula. Watt ikiwa kubwa inamaana sahani inauwezo mkubwa wa kubeba chakula.
 
Kama hapo hujaelewa chukulia mfano wa mamantilie anavyobeba chakula kutoka jikoni kwenda kwa mteja. Mama ntilie ni kama Volt kazi yake kusambaza chakula na ampere ndio chakula kinachosambazwa. Chakula hutegemea uhitaji wa mteja.
 
Kwa mujibu wa Ohms law kuhusu umeme.
Kwa tafsiri isiyo rasmi na rahisi na ya kienyeji.

Upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya unene wa waya na current au ampia lakini unene huo unaathiri mpitisho wa umeme au ukinzani huathiriwa.
Kwa lugha rahisi, current huwa kubwa wire unapokuwa mnene.

Volts haiathiriki na unene wa waya, kazi ya Volts ni kusafirisha current. Betri ya gari ina current kubwa lakini volts ndogo kwa ajili ya usalama, kwa sababu current ndo inayoua .
Ah nimechoka kuandika hebu jisomee bana
 
In a layman explanation!!


Watt (W) ni unit/kizio cha power, kina signify uwezo/capacity ya kufanya kazi. e.g machines or any system.

Watt ni jina la engineer na mwanasayansi m-Scottland and GB, James Watt, mtaalamu wa steam engine.

So Watt ni nishati/energy iliyo fanya kazi kwa muda Fulani,
Power (watt) = Energy (Joule)/ Time (second)



Volt(V) ni unit ya voltage, inaashilia ni nguvu kiasi gani inayosukuma electrons kwenye wire kutoka point/component moja kwenda nyingine.

Volt inatokana na mgunduzi wa betri ya umeme, mwanasayansi Muitaliano Alessandro Volta.

Ampere (I) ni kizio cha current(I). Ampere ni load/mzigo kiasi gani umekua/unaoweza kua connected kwenye umeme. e.g loads are lamps, maotor, heaters, pumps, etc.

Ampere ni jina la mwanasayansi mfaransa, Andre-Marie-Ampere.

Honourable mention, resistance (Ohm) after German scientist Georg Simon Ohm


____________________________

Voltage(V) hai flow/haitembei kwenye wire bali Current(Ampere) ina flow/inatembea.

Voltage ndio huzalisha current (ampere), kinyume chake sio.
How?
Answer:
Betr ni electrolytic phenomenon (electrochemistry). Movement za ions ndo huzalisha amount ya voltage ambayo ni nguvu inayosukuma electrons/current Electrons ndani ya wire ni negative na stationary/hazitembei
Ukichukua betr ukaunganisha, electrons zitavutwa upande wa +ve side wa betr na kusukumwa upande wa -ve side wa betr. Hichi kitendo kinatokea kwa spidi ya mwanga/Electric field. Hapa electrons zitatembea/shake kutoka -ve kuelekea +ve side ya betr, kitendo cha electrons kushake/tembea kutazalisha nguvu kinzani kuelekea upande tofaut na electrons hii nguvu ndo current(ampere).

________________

Watt = Volt x Ampere
Watt = electrical energy / time

So Watt ni kiasi Fulani cha volt mara ampere kilichofanya kazi kwenye load X kwa muda Fulani.

Machine au load yenye power X watts maana yake inahitaji Y volts na Z amperes ili ifanye kazi. Kwahiyo watt inategemea volt na ampere.

Charger yenye 5V DC na 2A inamaanisha hii chaja inaweza kusukuma load inayohitaji maximum volt 5 na ampere 2 na kushuka chini ya hizo values

Chaja hai consume 2A, bali inatoa volt 5 na inaweza kusukuma mzigo wa ampere 2


5V and 2A chaja vs 12V vs 2A chaja? The difference is charging speed/performance, more like 10W vs 24W !!!!

5V 2A vs 12V 1.5A ??
still 12V is faster than 5V charger


12V ni force kubwa sana kuliko 5V katika kusukuma electrons au 2A load.
Nisawa na pump ya watt 1200W na 500W zisukume lita 20 za maji hee kwa sekunde

Je, kama chaja ya 5V na 2A maana yake napata power ya 5x2=10watts, kwahiyo nikiweka load ya 2V na 5A itafanya kazi maana hata load ina 10watts? Kwanza maranyingi vifaa vya electronics, voltage zake hua ni power supply hapohapo na logic level (0 or 1), kwahiyo specific voltage ya kifaa inamaana yake. Chaja 5V , load 2V ..yes logo level itasoma HIGH(binary 1) lakini je field yake itaweza kisupply power requirements za resistors, capacitors and co???. Chaja 2A, load 5A, ok kama 5A ni relay haitafanya kazi kwenye 2A chaja hata kama power ni 10watts for both relay na chaja. Maana heating ambayo 5A atasababisha ni ndogo kwa heating ya 2A kwenye relay coil.



Ampere ni mahitaji ya load sio chaja
Volt ni rating ya voltage ya chaja na load
Watt ni volt mara ampere = power

Ukiweka load ya 5V na 3A kwenye chaja ya 5V na 2A, chaja inaungua sababu italazimishwa isukume 3A wakati uwezo wake ni 2A. etc



Kwanini Ampere, Volt na Watt?
chukulia mfano filament bulb.
Filament ni wire mdogo uliokunjwa ndani ya filament bulb.
Filament bulb iliyokua rated 40W haimanishi chochote bali inamaanisha hii bulb inahitaji volt X na ampere Y ili iwake. Ok tanesco wanatoa 230V. Ampere haiji na tanesco ni load/bulb ndo itahitaji ampere kiasi gani iwake.
Ule mkunjo wa waya(filament) ndani ya bulb umekunjwa katika resistance (R) flani. Ili filament itoe mwanga inabidi electrons/current iflow. Ukiconnect volt 230V, peak, electric field inaflow mpaka kwenye filament inazifanya electrons za filament zi vibrate kwa sababu filament imejikunja/resistance basi electrons zinaanza kugongana na kusababisha heating, heating ikizidi itaanza kutoa mwanga kama effect ya collision. Je current (ampere) ikowapi hapa???
Nkkitaka kujua bulb yangu inatumia ampere kiasi gani nachukua
Ampere = Volt ya tanesco / resistance
Resistance = resistance ya filament
Au
Ampere = power (40w)/ volt (230v)
Current(peak) = 0.1739Ampere
Kwahiyo bulb yangu ni load ya 0.1739A

Ili kurahisisha kwa mteja, load/load inafanyiwa testing kujua inakula ampere kiasi gani and hence unanunua inakua rated already kua inakula ampere kiasi hiki.



Generally, rating ya Volt na Ampere kwenye kifaa cha umeme inamaanisha atleat volt ya load iwe chini na ampere ya load iwe chini. Yaani overall power ya load iwe chini ya power ya chaja for better performance and reliability ya charger.


NOTE: these were nonlinear (electronics loads)

There are inductives, capacitive loads where power factor holds.

Kuna swali lingine?

Regards,
Engineer
Sikuupitia Uzi huu jamaa nakushukuru Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In a layman explanation!!


Watt (W) ni unit/kizio cha power, kina signify uwezo/capacity ya kufanya kazi. e.g machines or any system.

Watt ni jina la engineer na mwanasayansi m-Scottland and GB, James Watt, mtaalamu wa steam engine.

So Watt ni nishati/energy iliyo fanya kazi kwa muda Fulani,
Power (watt) = Energy (Joule)/ Time (second)



Volt(V) ni unit ya voltage, inaashilia ni nguvu kiasi gani inayosukuma electrons kwenye wire kutoka point/component moja kwenda nyingine.

Volt inatokana na mgunduzi wa betri ya umeme, mwanasayansi Muitaliano Alessandro Volta.

Ampere (I) ni kizio cha current(I). Ampere ni load/mzigo kiasi gani umekua/unaoweza kua connected kwenye umeme. e.g loads are lamps, maotor, heaters, pumps, etc.

Ampere ni jina la mwanasayansi mfaransa, Andre-Marie-Ampere.

Honourable mention, resistance (Ohm) after German scientist Georg Simon Ohm


____________________________

Voltage(V) hai flow/haitembei kwenye wire bali Current(Ampere) ina flow/inatembea.

Voltage ndio huzalisha current (ampere), kinyume chake sio.
How?
Answer:
Betr ni electrolytic phenomenon (electrochemistry). Movement za ions ndo huzalisha amount ya voltage ambayo ni nguvu inayosukuma electrons/current Electrons ndani ya wire ni negative na stationary/hazitembei
Ukichukua betr ukaunganisha, electrons zitavutwa upande wa +ve side wa betr na kusukumwa upande wa -ve side wa betr. Hichi kitendo kinatokea kwa spidi ya mwanga/Electric field. Hapa electrons zitatembea/shake kutoka -ve kuelekea +ve side ya betr, kitendo cha electrons kushake/tembea kutazalisha nguvu kinzani kuelekea upande tofaut na electrons hii nguvu ndo current(ampere).

________________

Watt = Volt x Ampere
Watt = electrical energy / time

So Watt ni kiasi Fulani cha volt mara ampere kilichofanya kazi kwenye load X kwa muda Fulani.

Machine au load yenye power X watts maana yake inahitaji Y volts na Z amperes ili ifanye kazi. Kwahiyo watt inategemea volt na ampere.

Charger yenye 5V DC na 2A inamaanisha hii chaja inaweza kusukuma load inayohitaji maximum volt 5 na ampere 2 na kushuka chini ya hizo values

Chaja hai consume 2A, bali inatoa volt 5 na inaweza kusukuma mzigo wa ampere 2


5V and 2A chaja vs 12V vs 2A chaja? The difference is charging speed/performance, more like 10W vs 24W !!!!

5V 2A vs 12V 1.5A ??
still 12V is faster than 5V charger


12V ni force kubwa sana kuliko 5V katika kusukuma electrons au 2A load.
Nisawa na pump ya watt 1200W na 500W zisukume lita 20 za maji hee kwa sekunde 🤔

Je, kama chaja ya 5V na 2A maana yake napata power ya 5x2=10watts, kwahiyo nikiweka load ya 2V na 5A itafanya kazi maana hata load ina 10watts? Kwanza maranyingi vifaa vya electronics, voltage zake hua ni power supply hapohapo na logic level (0 or 1), kwahiyo specific voltage ya kifaa inamaana yake. Chaja 5V , load 2V ..yes logo level itasoma HIGH(binary 1) lakini je field yake itaweza kisupply power requirements za resistors, capacitors and co???. Chaja 2A, load 5A, ok kama 5A ni relay haitafanya kazi kwenye 2A chaja hata kama power ni 10watts for both relay na chaja. Maana heating ambayo 5A atasababisha ni ndogo kwa heating ya 2A kwenye relay coil.



Ampere ni mahitaji ya load sio chaja
Volt ni rating ya voltage ya chaja na load
Watt ni volt mara ampere = power

Ukiweka load ya 5V na 3A kwenye chaja ya 5V na 2A, chaja inaungua sababu italazimishwa isukume 3A wakati uwezo wake ni 2A. etc



Kwanini Ampere, Volt na Watt?
chukulia mfano filament bulb.
Filament ni wire mdogo uliokunjwa ndani ya filament bulb.
Filament bulb iliyokua rated 40W haimanishi chochote bali inamaanisha hii bulb inahitaji volt X na ampere Y ili iwake. Ok tanesco wanatoa 230V. Ampere haiji na tanesco ni load/bulb ndo itahitaji ampere kiasi gani iwake.
Ule mkunjo wa waya(filament) ndani ya bulb umekunjwa katika resistance (R) flani. Ili filament itoe mwanga inabidi electrons/current iflow. Ukiconnect volt 230V, peak, electric field inaflow mpaka kwenye filament inazifanya electrons za filament zi vibrate kwa sababu filament imejikunja/resistance basi electrons zinaanza kugongana na kusababisha heating, heating ikizidi itaanza kutoa mwanga kama effect ya collision. Je current (ampere) ikowapi hapa???
Nkkitaka kujua bulb yangu inatumia ampere kiasi gani nachukua
Ampere = Volt ya tanesco / resistance
Resistance = resistance ya filament
Au
Ampere = power (40w)/ volt (230v)
Current(peak) = 0.1739Ampere
Kwahiyo bulb yangu ni load ya 0.1739A

Ili kurahisisha kwa mteja, load/load inafanyiwa testing kujua inakula ampere kiasi gani and hence unanunua inakua rated already kua inakula ampere kiasi hiki.



Generally, rating ya Volt na Ampere kwenye kifaa cha umeme inamaanisha atleat volt ya load iwe chini na ampere ya load iwe chini. Yaani overall power ya load iwe chini ya power ya chaja for better performance and reliability ya charger.


NOTE: these were nonlinear (electronics loads)

There are inductives, capacitive loads where power factor holds.

Kuna swali lingine?

Regards,
Engineer

umesomeka engineer.
 
Back
Top Bottom