magicdavie
Member
- Aug 12, 2017
- 41
- 37
Ndugu, jamaa, naomba msaada kwa anaejua dawa ya macho, mzee wangu kaingiwa na matone ya mti wa mnyaa machoni
Kama kuna mama ananyonyesha mwambie amkamlie maziwa machoni kesho ataamka yuko poaNdugu ,jamaa ,naomba msaada kwa anaejua dawa ya macho ,mzee wangu kaingiwa na matone ya mti wa mnyaa machoni
Nimemkosa mama anayenyonyesha, nimetumia maziwa ya ng'ombe fresh, nasubiri nione kama yatasaidiaKama kuna mama ananyonyesha mwambie amkamlie maziwa machoni kesho ataamka yuko poa
Yanaweza saidiaNimemkosa mama anayenyonyesha, nimetumia maziwa ya ng'ombe fresh, nasubiri nione kama yatasaidia