kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Nina tatizo la kuumwa kiuno.sijawahi kuanguka au kupata ajali imejitokeza ghafla na hata kuinama inakuwa shida naomba msaada wa tiba
umri?Nina tatizo la kuumwa kiuno.sijawahi kuanguka au kupata ajali imejitokeza ghafla na hata kuinama inakuwa shida naomba msaada wa tiba