Lissu jr94
Member
- May 21, 2021
- 53
- 45
Habari ya muda huu wana jf, nasumbuliwa sana na jino, limeshambuliwa na wadudu....kuna yeyote mwenye kufahamu tiba yake bila kung'oa
Asee naomba u-share hapa ili na sisi wengine tuigilizie majibu.. asanteni rahisi mkuu, unapatikana wapi!?..
nitafanya hivyo mkuu ngoja tujue yuko wapi ili nimuelekeze pa kuipata kulingana na eneo alilopo halafu na wewe utaigilizia majibu kulingana na huko ulipo..Asee naomba u-share hapa ili na sisi wengine tuigilizie majibu.. asante
Dawa imenisaidia sana hiyo.. Buku 5 tu zile sahivi ya kati sijui ni ndogo..Tumia sensodyne kuswakia.
Permanent soln ni kung’oa… kwanza ni la wapi ilo mpaka hutaki kuling’oa?
Ushauri ni ung’oe tu.
nitafanya hivyo mkuu ngoja tujue yuko wapi ili nimuelekeze pa kuipata kulingana na eneo alilopo halafu na wewe utaigilizia majibu kulingana na huko ulipo..
Natumia colgate mkuuUnatumia dawa gani kuswaki?Tuanzie hapo kwanza mkuu
Niko Dar, mbezi beach nduguni rahisi mkuu, unapatikana wapi!?..
Jino la kwanza baada ya meno mawili ya mbeleTumia sensodyne kuswakia.
Permanent soln ni kung’oa… kwanza ni la wapi ilo mpaka hutaki kuling’oa?
Ushauri ni ung’oe tu.
Shukran, nitafanya hivyo...ila hapo kwenye kumeza, ikitokea umemeza bahati mbaya je?sawa utachukua matunda yaliyoiva ya mti wa tura tura au wengine huita ndulele kama mawili matatu kulingana na ukubwa wa tunda, kisha utayakata kata halafu unaweka kwenye chombo utayakamua ile juisi yake halafu utachovya mswaki wako mpaka uenee kama dawa ya meno inavyokaa..
utaswaki kama dakika 3 mfululizo hapo utaona mapovu mengi mdomoni ila USIMEZE KABISA! na dawa ni chungu sana ila inavumilika utaendelea mpaka dakika 3 zikamilike, baada ya hapo utatema yale mapovu na utakaa kwa dakika 5 bila kusukutua kwa maji ya kawaida kisha zikipita utachukua maji ya vuguvugu utasukutua jino litapoa kabisa kabisa..
utaamua sasa wewe ukalizibe kama ni la kuziba au kama limeshakatika katika basi litakatika taratibu bila maumivu na unaweza kaa hata miaka mitatu halijauma, ikishindikana hiyo nitafute nikupatie dawa nyingine, shukran..
Papaa Gx Lissu jr94 davejillaonecka
View attachment 2131485
View attachment 2131486
Mkenda jengo la ubungo plaza uliza duka la dwa za asili la JKBC waambie wakupe dawa ya meno inaitwa DFP inauzwa Kati ya elfu 20 Hadi 25 utanikumbuka baadaye.Niko Dar, mbezi beach ndugu
Thanks a lotMkenda jengo la ubungo plaza uliza duka la dwa za asili la JKBC waambie wakupe dawa ya meno inaitwa DFP inauzwa Kati ya elfu 20 Hadi 25 utanikumbuka baadaye.
usimeze bhana, huwezi kumeza kirahisi maana chungu, ukimeza bahati mbaya kunywa maji kiasi..Shukran, nitafanya hivyo...ila hapo kwenye kumeza, ikitokea umemeza bahati mbaya je?
Poausimeze bhana, huwezi kumeza kirahisi maana chungu, ukimeza bahati mbaya kunywa maji kiasi..