Msigazi Mkulu JF-Expert Member Dec 22, 2013 4,110 3,269 Nov 21, 2019 #1 Hili limekuwa tatizo sana hasa huku Kanda ya Ziwa. Nini tiba au kinga ya hili tatizo la kutoka harufu mbaya puani hasa kwa wanaume?
Hili limekuwa tatizo sana hasa huku Kanda ya Ziwa. Nini tiba au kinga ya hili tatizo la kutoka harufu mbaya puani hasa kwa wanaume?
financial services JF-Expert Member May 17, 2017 17,094 40,614 Nov 21, 2019 #2 Aisee sijawahi isikia hii, harufu ya pua duh, huenda ana mafua huyo