Kwa hiyo ni kama mashindano ya marathon?Madhara ya puli hayo mkuu pole Sana kula tangawizi,swaumu,karanga na maji mengi halafu usisex miezi miwili then usex halafu utatupa mrejesho
Akili zako unazijua mwenyewe... 😁😁Baada ya miezi miwili atesti kurusha tena?
mh cancer? sema imevimba may be ila kwa umri wake huo less likely
unakojoa mara kwa mara, mkojo unatoka kwa pressure ndogo tangu mwanzo au unaanza kwa pressure ila unakatia njiani? tatizo lina mda gani?Umri: 42
Tatizo: Shahawa zinatoka rojo rojo bila presha.
Nguvu za kiume: zipo
Mkojo: presha ndogo na hauishi wote vzur kama vile valve mbovu.
NINI TATIZO?
NINI TIBA?
IMANI UPENDO MIUJIZA
faida ipo kaka, zisiporuka kwa kasi uwezekano wakusababisha ujauzito hupungua.Mimi nilifikiri unataka kusema shahawa hazitoki, sasa kuruka kuna faida gani
dah!kwa hyo jamaa anenda kupigwa dole.... hya magonjwa mengine upimaji wake mtihan sanaJibu
Nenda hospital ukachunguzwe juu ya tezi dume. Ikivimba huleta dalili hizo wahi.
Ikibainika usifanye upasuaji nijuze nikupe mbadala.
Kama huko Dar kuna sehemu nimesikia Clouds wakitangaza weekend hii wanapima bila malipo ikiwemo saratani mbalimbali.
Mkuu tangawizi inahusika vipi..nipe darasa mkuuMadhara ya puli hayo mkuu pole Sana kula tangawizi,swaumu,karanga na maji mengi halafu usisex miezi miwili then usex halafu utatupa mrejesho
Mimi nilifikiri unataka kusema shahawa hazitoki, sasa kuruka kuna faida gani
Tatizo nenda kamuone doctorPresha ndogo tangu mwanzo.
Kumbe inavyokuwafaida ipo kaka, zisiporuka kwa kasi uwezekano wakusababisha ujauzito hupungua.
Tezi dume hioUmri: 42
Tatizo: Shahawa zinatoka rojo rojo bila presha.
Nguvu za kiume: zipo
Mkojo: presha ndogo na hauishi wote vzur kama vile valve mbovu.
NINI TATIZO?
NINI TIBA?
Asante kwa kunipa tumain la kutokuwa na tatzo. Kidogo niseme ndo hvyo tena huenda nina masukar na nguvu za utajir-asilia zimekata.Hilo CYO tatizo Ni umri pianikiwa na age ya 23 nilikuwa nakojoleaa nnje zinaruka mita 2.5 HV sas HV nikikojolea nnje haziruki hata mita 0.5 na mzigo unasoma vzr tu