Hizo itakua zile zinazoitwa rapid au kitu kama hikona bank nyinyine wanayo wanaita chap chap account maana yake unafungua account siku hiyohiyo unapewa kadi na account yako iko tayari kwa matumiziKwa wanaojua naomba mnijuze.
Leo nimefungua account ya CRDB ya tembocard visa ila najiuliza kwanini hawaweki picha wala jina la mwenye account.
Msaada tafadhali.
Bei gan umefungua?Lakini inafanya kazi kawaida kama hizo nyingine online banking& purchase tofauti ni hiho fu kwamba hamna pcha wala jina ila kwa nyuma kuna signature ambayo nimeweka mwenyewe
Watu wengine sijui wakoje. Halafu atakuja kulalamika hapa.Toa picha ya hiyo kadi yako. Unajipa risk za bure. Sio kila ukiambiwa picha unaweka tu