ALLY KILUNGUZO SALUM
Member
- Feb 28, 2007
- 67
- 136
Wakuu habari za leo.Naomba msaada wa kueleweshwa jinsi ya ku-update Tecno yangu kila mara inasema up date memory card.Kumbuka memory card bado ina nafasi ya kutosha.
Huwez updat memory card nipe screenshots tuoneWakuu habari za leo.Naomba msaada wa kueleweshwa jinsi ya ku-update Tecno yangu kila mara inasema up date memory card.Kumbuka memory card bado ina nafasi ya kutosha.
Badilisha directory ya storage kutoka kwenye phone storage kwenda kwenye memory card., inaonekana phone storage imejaa kwa inataka utunze kwa sd card.App ninayotaka kudown load ina 15.43MB wakati available space ni 2.33GB kwenye memory card Nashindwa kuelewa mkuu
Lakini app zingine kwanini azikubali kwenda kwenye memory card??Badilisha directory ya storage kutoka kwenye phone storage kwenda kwenye memory card., inaonekana phone storage imejaa kwa inataka utunze kwa sd card.
Lakini app zingine kwanini azikubali kwenda kwenye memory card??
ni simu ya aina gani?Lakini app zingine kwanini azikubali kwenda kwenye memory card??
sababu memory card zipo slow. asilimia 99 ya memory card za kibongo ukiziweka apps simu itakuwa slow.Lakini app zingine kwanini azikubali kwenda kwenye memory card??
app zinakaa kwenye internal memory by default.App ninayotaka kudown load ina 15.43MB wakati available space ni 2.33GB kwenye memory card Nashindwa kuelewa mkuu
Archos 50f neon,8gb,dual simni simu ya aina gani?
hapa unafanyaje?,mi nina android7.0,na katika kuiformat una delete kila kitu ktk hiyo memory card na kuanza upya??app zinakaa kwenye internal memory by default.
kama una simu ya android 6 na memory card yenye speed unaweza ukaiformat hio memory card iwe internal memory.
ndio, ila sidhani kama ni big issue sababu unaweza kuvi backup mahala na kuvirudisha.hapa unafanyaje?,mi nina android7.0,na katika kuiformat una delete kila kitu ktk hiyo memory card na kuanza upya??