kamikaze
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 422
- 610
Habari jana jamvi!
Naombeni msaada wa tatizo la mgongo, kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la maumivu kwenye mgongo Chini kidogo ya mabega, maumivu huwa yana kuja na kupotea na kuja Tena, nimeishenda hospitali zaidi ya mara tatu na kupiga X-ray lakini picha zote zinaonesha hakuna shida. Hivyo basi pindi maumivu yanapokuja huwa nameza dawa za kutuliza maumivu, naomba mwenye ufahamu na tatizo hili aweze kunijulisha tiba ya kulimaliza tatizo hili, natanguliza shukrani zangu.
Naombeni msaada wa tatizo la mgongo, kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la maumivu kwenye mgongo Chini kidogo ya mabega, maumivu huwa yana kuja na kupotea na kuja Tena, nimeishenda hospitali zaidi ya mara tatu na kupiga X-ray lakini picha zote zinaonesha hakuna shida. Hivyo basi pindi maumivu yanapokuja huwa nameza dawa za kutuliza maumivu, naomba mwenye ufahamu na tatizo hili aweze kunijulisha tiba ya kulimaliza tatizo hili, natanguliza shukrani zangu.