Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,219
- 2,825
Siyo utani ni shida ya kweli...
Kuna mtu kanifuata hapa anasema katumiwa parcel kutoka UK na imefikia Kenya
Watu wa Kenya wamemtumia sms Whatsapp wamemwambia aende akachukue mzigo wake ndani ya saa 12 akiwa na orijino copy ya ID.
Kinachomtatiza ni process za kufika hapo Uwanja wa Jomo Kenyatta anahisi muda hautoshi amejaribu kuwa-sms wampe maelekezo zaidi lakini meseji haioneshi kusomwa (hawapo online)
Kuna mtu kanifuata hapa anasema katumiwa parcel kutoka UK na imefikia Kenya
Watu wa Kenya wamemtumia sms Whatsapp wamemwambia aende akachukue mzigo wake ndani ya saa 12 akiwa na orijino copy ya ID.
Kinachomtatiza ni process za kufika hapo Uwanja wa Jomo Kenyatta anahisi muda hautoshi amejaribu kuwa-sms wampe maelekezo zaidi lakini meseji haioneshi kusomwa (hawapo online)